WhatsApp imepata tatizo gani ?

WhatsApp imepata tatizo gani ?

Twitter uuuup!!!!
SmartSelect_20190703-210330_Twitter.jpeg
 
Kwahiyo ramani nlokutumia haijafunguka? Ngoja nikupigie nikuelekeze kwa mdomo namna ya kufika hapa

😂😂😂😂
Hapo ulipo hata nikiwa nimelewa nafika bila tatizo

Nitumie tena,hii haifunguki hadi sa hivi
 
Mara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .

Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?


" US cybersecurity firm Cloudflare failure "
-Whatsap
_Fb
_soundcloud n others..
Dnt expect 2 send pics n vids ..Yet
Problem will be solved..
 
Wakuu mi nikiinstall app ya WhatsApp na kujib nikilala nikjamka nakuta haipo kwenye cm yangu yaani nakuta imeji unstall hivi tatizo ni nini na nini suluhisho lake je kuna alie wahi kukutana na hii kitu??? Sio mara 1 ni kwa siku 3 mfululizo
 
sisi watumiaji wa windows phone hatuna shida yoyote full kuchatika tu ndani ya Whatsapp na insta
 
Naona mchina kashaanza kumshikisha adabu mmarekani. Tutashuhudia mengi mwaka huu.
 
Acha Mara moja kitumia Tecno mkuu!utapata tabu sana
Wakuu mi nikiinstall app ya WhatsApp na kujib nikilala nikjamka nakuta haipo kwenye cm yangu yaani nakuta imeji unstall hivi tatizo ni nini na nini suluhisho lake je kuna alie wahi kukutana na hii kitu??? Sio mara 1 ni kwa siku 3 mfululizo
 
Mara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .

Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?
 
Mack wana msumbua wenzie kumwalibia soko mara ya pili hii mwez wa 5 au wa 4 nahic walitekenya fb kwa dakika kama 15 hivi.
 
Back
Top Bottom