WhatsApp imepata tatizo gani ?

WhatsApp imepata tatizo gani ?

Mara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .

Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?
What's App ilivamiwa jana na Ki-rusi lakini leo ipo poa.
 
Back
Top Bottom