mmmmmhhhhh kijana umenishinda mie yaani lile bifu la siku ile halijaisha tu jamani,mmmmhhhhh haya banah ngoja nkutumie hizo hela m-pesa ila nataka na chenji ole wako,afu a.k.a yangu usiitaje maanake we na hivi nimekwambia utanirudishia chenji ndo basi tena utaanza kuntisha.Blue G njoo huku kabla sijakulisemelesea li nick name lako, bado nina vita na wewe; vingnevyo nitumie mpesa now now!
hahahaaaa haya bana.
hivi nani yule anaitwa KIBAMIA?
lol..... nisimwage kuku kwenye mchele wengi!!wewe hapo umesahau....
i have a lot amoung of them ni sweetieee.....
wewe lazima uwe mtamu tu!!sio bure
mmmh sijajionja?
mama mi naogopa kukutania utanichapa, eti uncle Ben alikuwa anaitwa nani wakati wa ujana wake?
mbwa mkali hua abwekibweki ovyo,unamstukia tu yupo miguuni,ukiliona linabweka ujue ni jibwa hilo
formula ni ile ile ya mkunwa na mkunaji-nipe mimi nipe mimi....teh.....am just singing
ha ha ha kumbe na we kipande hii upo....