What happened to Musiba/Tanzanite?

What happened to Musiba/Tanzanite?

Sijawahi kuona umeita mtu kilaza,unatukanwa sana humu,unakaa kimya,kimekupata nini striker wangu?
mkuu,ukiona hivyo ujue nyuzi joto la pasikali kuhusu musiba liko miamoja.
 
Taarifa ni ameshindwa kulipa kodi ya nyumba amefukuzwa.
 
Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Chahali knows the answer....anapima tu kujua kama siye laymen wa JF tunajua chochote...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hiki ni nini????
Acheni imbea wa kike. Mnaumbuka sasa.
Screenshot_20190206-193643_Muungwana.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P

Pascal acha utoto nikupe nasaha moja ya mwalimu wangu wa enzi hizo, kulikuwa na lecturer mtasha ambaye alikuwa ni mzee na alikuwa akitembea yeye ni full kuongea kwa sauti ndogo sana huku kuna wakati akipunga mikono hapa na pale akiwa peke yake, sasa pana siku tulifanya vibaya paper yake na yule lecturer mswahili akatuambia ...."musiwe wavivu wa kumsindikiza na kusikiliza anachoongea kwani mengine huwa anaongelea maswali ya mtihani wake"
Hivyo nakuomba kwa unyenyekevu kabisa futa hilo neno Makorokocho ama sivyo utapoteza ladha ya kachumbali yetu
 
Pascal acha utoto nikupe nasaha moja ya mwalimu wangu wa enzi hizo, kulikuwa na lecturer mtasha ambaye alikuwa ni mzee na alikuwa akitembea yeye ni full kuongea kwa sauti ndogo sana huku kuna wakati akipunga mikono hapa na pale akiwa peke yake, sasa pana siku tulifanya vibaya paper yake na yule lecturer mswahili akatuambia ...."musiwe wavivu wa kumsindikiza na kusikiliza anachoongea kwani mengine huwa anaongelea maswali ya mtihani wake"
Hivyo nakuomba kwa unyenyekevu kabisa futa hilo neno Makorokocho ama sivyo utapoteza ladha ya kachumbali yetu
Mkuu Ngisibara, kumbe kuna wengi mnaosoma na kupenda makorokocho ya Musiba?!.
Pole
P
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize Magonjwa mtambuka atakua anajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
The guy is just from another useless planet. Sijui huwa anafikiri nini. Kujenga nchi ni kazi yetu sote, ila sio kwa namna ya kuchafuana bila sababu
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Umtag kwa zile ID zake humu atakujibu ila kingine na wewe unajishushia heshima kumuulizia kilaza kama yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Probably anatumia kwanza alizolipwa baada ya kutumika zikiisha atarudi, au labda amefanya kazi sawa na ile wanayovaa wakati wa ngono umuhimu na matumizi yake ni mara tu!
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Sentensi ya mwisho kuhusu FBI imebeba kiini cha taarifa yako.
Tumegee kidogo mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom