What happened to Musiba/Tanzanite?

What happened to Musiba/Tanzanite?

Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Siye tulidhani una details za kutosha kumbe na wewe Unataka kujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
"kulikoni" ???

Take a bow Chahali
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Musiba upo kwao Itigi hawezi kututolea taariba anasubili zisukwe yeye atafuata mkumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo aya ya mwisho naomba iwe kweli tupu na endapo ni kweli basi waendelee kubaki nae huko.
 
kuna Clip ya Dada mmoja huko You Tube akimchana chana Chahali kwakweli sijui nini kilitokea baina yao; nadhani tu labda mapenzi yaliisha ila sikudhani naye jasusi "mstaafu" ana ingia ndani ya mtego wa mwanamke.
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
yupo kwenye ziara ya Lissu anakusanya data
 
Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Nyie wote ni watu wa tasnia moja..mi nadhani kama anayoyaandika yangekuwa ni makorokocho basi wahusika wangekuwa mahakamani..nakumbuka miaka ya 2006 - 2013 gazeti la mwanahalisi nilikuwa nikiliita gazeti darasa..na watu waliliamini sana kumbe waliandika vitu bila ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameishiwa porojo, umbea, uongo na kashfa zake kwa wapinzani wa mjomba.
Anatafuta gia nyinyine ya kujikosha kwake. Pengine anatafuta namna ya kuzifuta nyayo za Lissu kule ughaibuni


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P

Ni bora hata Chahali kauliza make tumeujua upande wako!!
 
Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Membe siyo wa mchezo.
Nimeitafsiri thread ya Chahali kama masikhara hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhan atakuwa anaandaa Bonge la hotuba ya kuhutubia wananchi maana donge nono la uteuzi kutoka juu linamsubiri😀😀😀😀😀
 
Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?

“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana tishio la kupelekwwa mahakamani na mheshimiwa Membe limemtia akili. Kulipa ma bilioni ya pesa si mchezo, na ikifikia hatua hiyo anajua atakuwa peke yake kama mtoto yatima, si lumumba wala mgogoni watakao mpa sapoti ya kulipa. Si unajua mkuu toilet paper ikishatumika hata kuitazama ni kazi. Ni mtazamo wangu tu mkuu.
 
Back
Top Bottom