busara kwanza
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 239
- 109
Musiba ni musiba kweliPaskali hupendeki yani kuna wakati unakuwa na akili ila mwezi ukishaandama basiiii
Leo umenifurahisha kumbe hata wewe unatambua upopoma wa msiba
Musiba ni musiba kweliPaskali hupendeki yani kuna wakati unakuwa na akili ila mwezi ukishaandama basiiii
Leo umenifurahisha kumbe hata wewe unatambua upopoma wa msiba
Bagosha!!!Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Nilitaka kuandika hivyo hivyo, umeniwahi!Hiyo sentensi ya mwisho ndiyo naitafakari.
Aise; bado natafakari kama ni wewe kaka mkubwa ndio umeandika hivi au computer ya ofisi umeiacha ON and hence one of your staff kafanya yake?Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Mkuu Chahali hapa hujauliza swali,ila umeuliza jibu/jawabu.Tunaomba swali kaka.Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?
“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe jibu boss... (kama quote yako hapo chini inavyo tanabaisha)Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?
“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Word!!Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Sijawahi kuona umeita mtu kilaza,unatukanwa sana humu,unakaa kimya,kimekupata nini striker wangu?Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Labda kasafiri au anaumwaKwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?
“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said Paschal, kuna vilaza hata hawatakiwi kujulikana uwepo wao!Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
kunywa soda mwanahabari mwenzangu Bravo big pointMkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
hata mimi nimejaribu kuihusisha na sentensi ya kwanza nikaona sielewi. Ngoja na mimi niendelee kuitafakari hiyo sentensi ya mwisho😛😛!Hiyo sentensi ya mwisho ndiyo naitafakari.
Yuko kwenye msiba wa mgunduzi wa Tanzanite mzee Ngoma!Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?
“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kama vile anajua nini kimetokea,ila anajaribu kutoa taarifa kishushushuu humu jukwaani.Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P