Ngonidema
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,775
- 2,750
HahahahahaPaskali hupendeki yani kuna wakati unakuwa na akili ila mwezi ukishaandama basiiii
Leo umenifurahisha kumbe hata wewe unatambua upopoma wa msiba
HahahahahaPaskali hupendeki yani kuna wakati unakuwa na akili ila mwezi ukishaandama basiiii
Leo umenifurahisha kumbe hata wewe unatambua upopoma wa msiba
Kumbe na wewe una madongo hivyo [emoji23] [emoji23] [emoji23] musiba kilazaMkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
hiyo ina uzi wake....hii sasa?kuna Clip ya Dada mmoja huko You Tube akimchana chana Chahali kwakweli sijui nini kilitokea baina yao; nadhani tu labda mapenzi yaliisha ila sikudhani naye jasusi "mstaafu" ana ingia ndani ya mtego wa mwanamke.
Yuko kwenye msafara wa Lissu.Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?
“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe huwa mnatekana wenyewe kwa wenyewe!!!Tweets za Jamvi la habari nimeziona about 1 hr ago sasa kama mnapanga kumteka basi mtakuwa wa kwanza kutoa ushahidi
Paskali hupendeki yani kuna wakati unakuwa na akili ila mwezi ukishaandama basiiii
Leo umenifurahisha kumbe hata wewe unatambua upopoma wa msiba
Details anazo. Ameuliza makusud ili ajue kama nanyi mmeshazpata. Hebu ng'amua na sumbua kichwa kuhusu hicho kibwagizo kuhusu FBI ktk sentence yake ya mwisho akimaanisha shushushu/jasusiSiye tulidhani una details za kutosha kumbe na wewe Unataka kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah Mkuu umenichekesha asubuhi asubuhi, mwezi ukiandama, hata mie nmemshangaa aisee maana kuna siku anazinguaga sanaPaskali hupendeki yani kuna wakati unakuwa na akili ila mwezi ukishaandama basiiii
Leo umenifurahisha kumbe hata wewe unatambua upopoma wa msiba
The situation matters... The current situation favors the majesty so he is now on the pending mode till high season...Kwa siku kadhaa sijaona "taarifa za habari za Musiba" kwenye chaneli yake na Tanzanite TV huko YouTube, na kwa siku kadhaa gazeti lake la Tanzanite halipo mtaani. Kulikoni?
“The FBI don’t come and ask you if you know someone if they don’t already know the answer.” [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua kwan uliuzwa nn na kmt y maadili y bungeMkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Mimi sikupi like, mleta mada lengo lake kutufikirisha na wewe umafanya hivyo hivyo. Huoni kuwa tunamiss uropokaji wa watetezi wa mwananzengo?Mkuu Chahali, wewe ni mtu mheshimiwa sana humu, unaaminika, usiwe unaulizia vitu trivial vya makorokocho kama huyo kilaza unayemuulizia. Unampa kichwa kuwa kumbe hadi watu muhimu wa uskochi wanamiss makorokocho ya kilaza Musiba!.
Stop that.
P
Leo naona mzee njaa umekasirika kweli kweli!!Stop that.P