zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Ndugu, bongo
Hakuna mtu angependa kuwa na mashaka na JK kwa sasa, lkn kama yeye ni kiongozi anatamka nini kwa haya yanayo endelea? Kama unavyo onyesha upendo na kumshiba JK basi na kama uko jirani naye mwambie arekebishe haya mambo! Watendaji wake wanamharibia sana kama hawa kina Hosea, Chenge, Mustafa etc
festog naona hujaisoma post ya mbangaizaji hapo juu, naona ungali-isoma usingeuliza JK anatamka nini, naomba isome halafu utaona JK anatamka nini na hatua zipi alizochukua mpaka sasa.