Wewe unayechart JF 24 hrs!!

Wewe unayechart JF 24 hrs!!

Jamani najiuliza sn lkn sipati jibu,kuna members hapa jf wanachat masaa 24! Swali ni kwmba huwa wanajitafutia rizki sangapi na muda wa kulala hamlali hapo inakuwaje?nisaidieni kwa hili plse.

Usiangalie muda gani watu wanapost kwani wa-danganyika wametawanyika dunia nzima....

Pia kumbuka page ya JF kwenye simu ya kiganja ..mara nyingi iko online 24 hrs..ikisubiri breaking news ambazo mara nyingi zinaanzia JF kabla ya CNN..
 
magamba yameanza kuleta utata humu, kwani tumekuja kukopa kwako, tunachati na mishe mishe zetu za kusaka mkwanja zinasonga vile vile.
 
magamba yameanza kuleta utata humu, kwani tumekuja kukopa kwako, tunachati na mishe mishe zetu za kusaka mkwanja zinasonga vile vile.

punguza presha mama huu ni mtazamo tu,kama vp pia unaweza kuja kukopa kwn na ww nadhan ni kati yao!
 
Usiangalie muda gani watu wanapost kwani wa-danganyika wametawanyika dunia nzima....

Pia kumbuka page ya JF kwenye simu ya kiganja ..mara nyingi iko online 24 hrs..ikisubiri breaking news ambazo mara nyingi zinaanzia JF kabla ya CNN..

thnx aise kidogo nimekupata harawaa!
 
Jamani najiuliza sn lkn sipati jibu,kuna members hapa jf wanachat masaa 24! Swali ni kwmba huwa wanajitafutia rizki sangapi na muda wa kulala hamlali hapo inakuwaje?nisaidieni kwa hili plse.
Hapa tutaongea mengi tu ila Kwa kweli kwa hao members wanaochat 24 hours humu JF kama wapo, tatizo lipo tu, ila sijajua bado hilo tatizo lipo wapi hasa.
 
Hiyo ni very simple itakuwa ni mtu anaye cancel, hivi ndo vingereza vyetu vya english course week moja unaongea na kuandika kiingereza.

Acha ushamba ww,wewe mwenyewe hapo lugha yako ya taifa inakupiga chenga je hii kingereza uliyojifunzia ukubwani sindio balaa? Come back 2 school!
 
Hapa tutaongea mengi tu ila Kwa kweli kwa hao members wanaochat 24 hours humu JF kama wapo, tatizo lipo tu, ila sijajua bado hilo tatizo lipo wapi hasa.

tatizo linakuja pale unaposhinda mda wote kwnye net huku taifa likihitaji mchango wako!
 
husniyo kama kawaida yako ulikuwa zamu ucku wa kuamkia leo!
 
punguza presha mama huu ni mtazamo tu,kama vp pia unaweza kuja kukopa kwn na ww nadhan ni kati yao!

kati yao wanaofanya nini, hivi jamani hayo majani hayo mnaokula mnayanunua nchi gani, manake unaruka kama kasuku vile.
 
Husninyo tulipokuwa primary ulikuwa unaongea kigogo tu wala ulikuwa hujui hata lugha yako ya taifa,
leo hii unajidai umeimpruve kiingereza lol ubinadam kaaaaazi kwelikweli!!!!
 
Halfu huyu jamaa anasahau kuwa humu JF kuna members kutoka mataifa tofauti na time code zinatofautiana sasa inaweza kuwa kwako muda huo ni night kali, kumbe mwenzio ni saa tisa mchana, lol. On the other hand usidhani wote wanatumia computer za ofisini kama wewe. I doubt exposure ya mtuma uzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom