Hata tukiwa masaa mengi huko bado tunaweza kufanya kazi zetu na kuishi town kwa kujidai pia.
Si lazima tutajane majina humu ndio ujue nani nanani wanakesha,thred zinaonyesha coments na muda!
Jamani najiuliza sn lkn sipati jibu,kuna members hapa jf wanachat masaa 24! Swali ni kwmba huwa wanajitafutia rizki sangapi na muda wa kulala hamlali hapo inakuwaje?nisaidieni kwa hili plse.