unahisi humu rizki haipatikani? kuna watu ndugu yangu,wanaziacha hela ziwatumikie. learn from the best, let money work for u and nt vice versa.
kila la kheri
hakuna mtu wa 24 hours jf
huwa tunasahau ku log off.......
ww nimeshaona coments zako nyingi niza night kali!
sina uhakika sn na majibu yako kwn hata km ww ni mkurgnz fln nafikiri unahitaji mda wa kuwa ofcn kwako uangalie kaz inavyoenda!
unatakiwa ufanyiwe canceler
kuna kazi nyingi ambazo mtu anaweza kufanya na ku chat 24.....
fikiria mmilikiwa hoteli au gesti.......anakaa tu kwenye ofisi yake......huku kazi zinaendelea...
canceler ndio nin?
Si lazima tutajane majina humu ndio ujue nani nanani wanakesha,thred zinaonyesha coments na muda!
kuna kazi nyingi ambazo mtu anaweza kufanya na ku chat 24.....
fikiria mmilikiwa hoteli au gesti.......anakaa tu kwenye ofisi yake......huku kazi zinaendelea...