huwa nipo na wewe.
namwona kama atakuwa ameathirika kisaikolojia
Mda wangu wa ku log out umefika,mungu akijalia kesho nitakuwa na rafiki zangu watakao kuwa night ucku wa leo! Thnx all.
Mda wangu wa ku log out umefika,mungu akijalia kesho nitakuwa na rafiki zangu watakao kuwa night ucku wa leo! Thnx all.
ww nimeshaona coments zako nyingi niza night kali!
In zis case, Hapa lawama zote zimwendee waifu, hivi kama waifu atavaa night dress katransparenti kauchokozi, halaf kajipodoe podoe, halaf kajipitishe kakwambie "honey nakuiitaji mwenzio" , hakyanani ukibaki JF basi ujue wewe ni shoga. Hapa ndio ubunifu wa kinamama unahusika ili kumkimbiza jamaa kwenye skrin.ukwl ni kwmba kuna baadhi ya members wanagombana mpaka na wake zao kisa hataki kulala yuko busy na uso wa kitabu nk!
inaniumiza akili kwn najaribu kuchanganua unafanya kazi sangapi?
There are currently 9 users browsing this thread. (4 members and 5 guests)
Dah! kamanda niaje jibaba?
hivi hajui kuwa kama mtu uko addicted na jf utarudi home mapema
na wife atakuona upo home kila siku?aulize wenye addiction na mabar maids lol
hehehe kamanda hapo hapahitaji kichen pati, hivi haujawahi kuskia jamaa kabaka mke wake? unafkiri inatokeaje? mke daily ananuka kikwapa sku moja anaamua kuoga inakuwa balaa.dah! kamanda naona unatema madini hapo juu ushawahi kuchungulia kicheni pati nini?
hehehe kamanda hapo hapahitaji kichen pati, hivi haujawahi kuskia jamaa kabaka mke wake? unafkiri inatokeaje? mke daily ananuka kikwapa sku moja anaamua kuoga inakuwa balaa.
hehehe intelijensia zinasema mingo zimo in da hauzi , zimekuja kivyengine tu, kuwa makini, ukichemsha imeludi kwako.tehetehheee... aiseee sema tu zile mingo zangu zote za humu zime sepa haya madini unayotema humu yange wasaidia sana.