Wewe unayechart JF 24 hrs!!

Wewe unayechart JF 24 hrs!!

Its a good observation!
Ila;

1. Inabidi kuwa na uhakika kuwa member yuko masaa 24 na wewe uwepo masaa hayo hayo kushudia activities zake in real time
2.. Kuona tu! Jina lake linaonyesha yuko online bila activness haidhibitishi kuwepo kwake nyuma ya computer yakea
3. Wewe unamchukuliaje mtu anayekaa hapa 24hrs?
 
hata kama unasimamia vyote hivyo inamaana huyu mtu kazi zake zinaenda tu bila ucmamiz wwte?

usimamizi ni kutazama tu watu kama vyumba ni safi na pesa imelipwa
inahitaji dakika ngapi?tano?
 
Kama muda unaruhusu, majukumu yanaruhusu, uwezo unaruhusu basi mimi namuheshimu sana mtu anaekaa JF muda mrefu, infakti inakuepusha na mambo mengi ya kizembe ambayo ilikuwa ukazembeke nayo nje na ambayo pia yangekosti uchumi au maisha yako.

Nimemaliza, napokea masuala matatu tu yasizidi.
 
kujenga chuki sio rahisi hivyo ndugu yangu. kwanza nakushukuru kwa huu uzi manake huyo husninyo ni mke wa mwanangu, hapiki, haangalii wajukuu zangu ana kazi ya jf tu! asante kwa kumpasha kimtindo,lol
ni mtazamo tu na wala ucjenge chuki!
 
Kama muda unaruhusu, majukumu yanaruhusu, uwezo unaruhusu basi mimi namuheshimu sana mtu anaekaa JF muda mrefu, infakti inakuepusha na mambo mengi ya kizembe ambayo ilikuwa ukazembeke nayo nje na ambayo pia yangekosti uchumi au maisha yako.

Nimemaliza, napokea masuala matatu tu yasizidi.

ok dawa chungu,sasa naomba nikuulize swli,mtu kama huyu atakuwa co adicted kwel?
 
Its a good observation!
Ila;

1. Inabidi kuwa na uhakika kuwa member yuko masaa 24 na wewe uwepo masaa hayo hayo kushudia activities zake in real time
2.. Kuona tu! Jina lake linaonyesha yuko online bila activness haidhibitishi kuwepo kwake nyuma ya computer yakea
3. Wewe unamchukuliaje mtu anayekaa hapa 24hrs?

namwona kama atakuwa ameathirika kisaikolojia
 
ok dawa chungu,sasa naomba nikuulize swli,mtu kama huyu atakuwa co adicted kwel?
Yep hii itakuwa ni 100% addction lakini
Mkuu katika maisha ni tabu sana kuishi bila addiction ya chochote, sasa ni bora ukuwe addicted na JF kuliko kuachana na JF ukakuwa addicted na kupiga chabo majirani wakilala na wake zao.
 
Yep hii itakuwa ni 100% addction lakini
Mkuu katika maisha ni tabu sana kuishi bila addiction ya chochote, sasa ni bora ukuwe addicted na JF kuliko kuachana na JF ukakuwa addicted na kupiga chabo majirani wakilala na wake zao.

hivi hajui kuwa kama mtu uko addicted na jf utarudi home mapema
na wife atakuona upo home kila siku?aulize wenye addiction na mabar maid lol
 
kujenga chuki sio rahisi hivyo ndugu yangu. kwanza nakushukuru kwa huu uzi manake huyo husninyo ni mke wa mwanangu, hapiki, haangalii wajukuu zangu ana kazi ya jf tu! asante kwa kumpasha kimtindo,lol

hahahahahaha! Mkwe tena huyu mtu anasema anaona comments zangu usiku. Hajui kama mimi nipo united states of mpwapwa masaa yetu tofauti na ya huko kwenu tz. Lol
 
Yep hii itakuwa ni 100% addction lakini
Mkuu katika maisha ni tabu sana kuishi bila addiction ya chochote, sasa ni bora ukuwe addicted na JF kuliko kuachana na JF ukakuwa addicted na kupiga chabo majirani wakilala na wake zao.

ukwl ni kwmba kuna baadhi ya members wanagombana mpaka na wake zao kisa hataki kulala yuko busy na uso wa kitabu nk!
 
hivi hajui kuwa kama mtu uko addicted na jf utarudi home mapema
na wife atakuona upo home kila siku?aulize wenye addiction na mabar maid lol
umeongea pointi sana mkuu TB
Infakti waifu anaweza akakushauri ufungue ID ya pili ili usiikose JF hata ukipigwa ban.
 
Huku kuna lipa,wengine vyanzo vyao vya riziki ni Jf, kuna members wanalipwa kupambana na thread za wengine.

Ukikuta member mgeni mwenye matusi mengi kuliko hoja huyo ndiye!
 
Huku kuna lipa,wengine vyanzo vyao vya riziki ni Jf, kuna members wanalipwa kupambana na thread za wengine.

Ukikuta member mgeni mwenye matusi mengi kuliko hoja huyo ndiye!

ni kazi gan haina kupumzika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom