hakuna mtu wa 24 hours jf
huwa tunasahau ku log off.......
maana yake unatakiwa utolewe roho..
hivi english kozi huja-graduation hadi leo?
unahisi humu rizki haipatikani? kuna watu ndugu yangu,wanaziacha hela ziwatumikie. learn from the best, let money work for u and nt vice versa.
kila la kheri
24 hrs kama kawaida bila hivyo mambo hayataenda...!
hakuna mtu wa 24 hours jf
huwa tunasahau ku log off.......
canceler ndio nin?
hata kama unasimamia vyote hivyo inamaana huyu mtu kazi zake zinaenda tu bila ucmamiz wwte?
Siku hizi una adimika wewe
Jamani najiuliza sn lkn sipati jibu,kuna members hapa jf wanachat masaa 24! Swali ni kwmba huwa wanajitafutia rizki sangapi na muda wa kulala hamlali hapo inakuwaje?nisaidieni kwa hili plse.
Kweli this thing is addictive. Ni kama cocaine. Ama bangi hivi.
Jomba mie nilidhani una experience na kaya tu..... kha na vya cocaine wavijua!?