Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,110
- 122,503
Ndio hapo sasa mana sio kwa povu hilo.kwan yupo humu
Ndio hapo sasa mana sio kwa povu hilo.kwan yupo humu
Yaani hii mitandao imewabadilisha sanaaZamani nilikuwa nadhani ushakunaku na umbea na majungu ni hulka za kike lakini siku hizi naona tofauti wapo wanaume washaku kama wasichana sasa sijui wanahormone za kike au ????
Watu hamnaga mambo ya maana yakufimiria? Mpaka mnaboa"Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninaye lingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaaa
Mimi nina 30 mpk nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lkn mie moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.
Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mm naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.
Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.
Jumapili njema.
Ameshazowea kulelewa huyo ndio maanaNimekuwazia nukajiwa na jibu sahihi u still a boy hizo ndo character zenu
hahahh atakuepo humuNdio hapo sasa mana sio kwa povu hilo.
Yaani hii mitandao imewabadilisha sanaa
Umeona kapigwa chini anatokwa fomaAmeshazowea kulelewa huyo ndio maana
Yaani......Ndio ujue kuna baadhi ya wavulana zinawatosha wenyewe
Mwanaume suruali nani akutake wewe unaishi kwa wazazi unamiaka 30 fyuuuuu kwataarifa yako kuolewa mkosi tu skuiz mijitu ishajipigia punyeto paka limelegea utafkiri la babu mzee kuliamsha paka lisimame masaa matatu alafu goli lenyewe moja bora nisiolewe tu
nisamehe buana sio ugomvi
kitu kisimame mpaka busti