Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

"Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninaye lingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaaa

Mimi nina 30 mpk nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lkn mie moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.

Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mm naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.

Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.

Jumapili njema.
Watu hamnaga mambo ya maana yakufimiria? Mpaka mnaboa
 
watu tunatofautiana sana ikiwa wengine tunaona wanawake wenye 30+ ndo wameshatulia washajua Maisha ni nini. Fashion Kwao sio issue tena, wengine wanamaisha Yao hivo ukiwanao mtsaidiana kujikwamua kimaisha haraka zaidi. Mtoa Mada sijui kama una miaka 30 analysis yako it's like umebarehe Juzi Bado akili zako zinatawaliwa na ngono, kuoa it's not about sexing only
 
Yaani hii mitandao imewabadilisha sanaa

Hawajabadilishwa na mitandao ni walikuwa hivyo toka kitambo sema tu wanawake tulikuwa tunadanganywa sana kuhusu wanaume but tushukuru Mungu tumeishi tukaona uongo waliodanganywa bibi zetu.
 
Dogo unaangalia swala la mahusiano in one dimension(palatability, of GF member) nakushauri ukiamua sasa nataka kuoa angalia mwanamke ambaye in 10 to 20 yrs to come atakuwa Mama wa watoto wako,....kumbuka Mama ndo mwalim wa kwanza wa wanao so u need to choose wisely.. If unataka Mama atakayewafundisha wanao kuwa "how to be good in bed" only that bas we komaa na utam wa K tuu...vilevile Kumbuka mwanamke uliyemzidi saana umri wakati we umezeeka kwa sbb unakula vyakula hovyo hufanyi mazoezi kipindi we unapiga DALI KIMOKO uko hoi ye ndo kwanza kumekucha... Lazima vijana wakusaidie
 
AACHA kuwaonea kabsa, dunia haiendi ivo .
 
Mwanaume suruali nani akutake wewe unaishi kwa wazazi unamiaka 30 fyuuuuu kwataarifa yako kuolewa mkosi tu skuiz mijitu ishajipigia punyeto paka limelegea utafkiri la babu mzee kuliamsha paka lisimame masaa matatu alafu goli lenyewe moja bora nisiolewe tu
nisamehe buana sio ugomvi kitu kisimame mpaka busti
 
Kwahiyo huyo dada yupo humu?
Nawe wajiita great thinker!! And umesema una miaka 30 right!! Ama kweli kuna watu wanakuwa miaka tu ila akili zimestuck.

Mueleze tu kistaarabu kwamba you dont see any future btn you two, karma is real so itafute busara ulikoisahau ikiwa bado mapema.
 
Back
Top Bottom