whatsapp online
Member
- Jan 17, 2017
- 86
- 95
Ukiona kafika 30 kapa ujue ana matatizo huyo. Walihisi wakiolewa mapema watakosa vingi kwa hiyo walikataa waoaji
Hizo ni dalili kwamba hajaamini kilichotokea. Ndio mana anajishaua tu hapaUmeona kapigwa chini anatokwa foma
Watamu au wazoefu tu. Maana wapepita kwingi30 years ni miaka mingi sana. Ila wengi wao huwa wanavutia wanakuwa wamesharidhika na maisha wamejazia.
Hivyo naungana na wewe kuwa ni watamu sana ukiwala. Endelea kula mzigo.
Cheers!!!!Cheers!
Ote nwangeninga seko licha mfiru chu wa inu. Ruwa akutarame kyakoMenyi ngalorio ikuona naiywe!!! Nuwe mcha cha kacha lyanye
Aika mkunde, na iywe Ruwa akunenge mbora tsakeOte nwangeninga seko licha mfiru chu wa inu. Ruwa akutarame kyako
Chaaa ngalorio loiiiiAika mkunde, na iywe Ruwa akunenge mbora tsake
Hayang'u ndao, kokunda na inyi sia yako iongereka mkundeChaaa ngalorio loiiii
Yan uwa nikifungua post nkute umeandka Aseeh nacheka kwel...Aseeeh.....
Aseeeh naona unaendelea kuchekesha hadi mtoto kwenye avatar...Yan uwa nikifungua pist nkute umeandka Aseeh nacheka kwel...
Hahaaaa! Thanks AseehAseeeh naona unaendelea kuchekesha hadi mtoto kwenye avatar...
Kwema lkn I missed you
mbona unahangaika sana kwenye avatar zako.?Kwahiyo huyo dada yupo humu?
Nawe wajiita great thinker!! And umesema una miaka 30 right!! Ama kweli kuna watu wanakuwa miaka tu ila akili zimestuck.
Mueleze tu kistaarabu kwamba you dont see any future btn you two, karma is real so itafute busara ulikoisahau ikiwa bado mapema.