Wenye waume JF..TAHADHARI.

Unajua unaweza kuanzisha ki academy cha ufundaji wa akina mrs watarajiwa na ukatengeneza pesa sana....manake akina Bi. Hindu na Bi. Chau nao siku hizi wamekuwa ni wajasiriamali wa ufundaji na wanapata mshiko
Wakufundwa wenyewe ni hawa wenye fikra za kurusha makombora kizani na kutembea na tindikali?Mbona kazi ipo.
 

chukua tano mama..
 
...mwanaume hachungwi bana,kama kunguru kunguru tu! We kama kwel umetulizana asa kwanin ucm2lize mwenzio..af bidada umesahau ule ukweli kuwa mwanaume hata ukimkuta anachochea baiskel kwnye kfua cha mwenzako atakwambia anabakwa?
Horya horyaaa..kama unahis cmu inachomolewa mfuko wa nyuma kwenye daladala hamishia mbele bibi..
Tuliobahatika kwenda unyagoni,tena cyo vichen party vya kupewa sahani na vjiko..unyagon haswaa wa kule kwetu..wa-ala hatushtuki..atahangaika koote,hapa ndo atarudi..build ths spirit withn u..jiamin,muamini!wanaume wote babayao mmoja na mama yao mmoja..
JiAmini shogate..kwa vitendo na c maneno tu na mikwara..coz atahama Jf apokelewa na vbint chuchu sa5 kasoro vya changanykeni fesbuk..vyenye maujanja yote.muhim abadil tabia.

Anyway nampatia picha iv ye anapoz gan saiv,teh teh la kunusurika au kauchuna tu anachek upepo wako unapoelekea!
Bytheway...Pole sana n hope utamrekebisha mumeo...
 
Kazi kweli kweli!!!!!!

Usiogope. Hatuibiwi. Tunajipendekeza wenyewe ajili ya magubu mlio nayo majumbani. JF inaondowa frustrations mnazotupa.

heheheee hiro naro neeeenooo! Ok next...
 
Mwali unapotea sana siku hizi, hebu ninong'oneze kidogo kama hujambo.
Nipo Sweety. Nipo sana tu. Habari ya deskmate?
Halafu mi nashangaa, mbona wewe ulipo jua ninasoma na deskmate uliniruhusu kuchonga pensil yake darasani, bora tu jiuoni arudi nyumbani? lolest!
 

Kaazi kweli kweli...
 
Mrs M,nakuunga mkono,kichwa na viuongo vyote,vishankunpe kweli vimejaa tele humu,niPM basi nikupe details.
 
Nipo Sweety. Nipo sana tu. Habari ya deskmate?
Halafu mi nashangaa, mbona wewe ulipo jua ninasoma na deskmate uliniruhusu kuchonga pensil yake darasani, bora tu jiuoni arudi nyumbani? lolest!
nimekutafuta sana ..kumbe uko huku bana..nimekutumia pm kibao hujanijibu..nani anakuweka bussy?
 
kama wabaya wako si byshernger na babu ODM???
Sijui, niliwaona asubuhi wakimsuka suka nywele na kumpaka eye shadow
nikajiuliza, wameanza lini????
Kongosho! huwezi kuona ukamezea? sasa hizo details zote unampa Ivuga kakuomba? lol
Ivuga kama unavo jua Anti anaumwa na hapakua na mtu wa kumpelekea babu uji wake, ndio nikaenda mimi.
Nilimkuta wakiongea na bishanga, nikakaa dakika kama kumi alafu nikaondoka zangu.
 
Lolololo......... Kazi ipo .......he ndoa za kulala na mume masaa 5, nayo ndoa? Kujua kumpangia kbtini 2, .... Masaa mengine yote kwa,...........na mpaka itokee aumwe........lo kazi mnayo wenye ndoa..
 
Kazi kweli kweli !!!!!!!!!

Mie Naricha tu. Sironda na mari gangu.
 
Kazi kweli kweli !!!!!!!!!

Mie Naricha tu. Sironda na mari gangu.

mdigo mwenzangu.....yaani huyu mwanamke anabahati ile mbaya.....kwanza hajafundwa...... Huyu mwanaume mie ningemchukua kwa udi tu.... Halafu yale ya gombero ya bibi zetu yangefata lazima angeshika aadabu asinge piga kelele tena.
 
kama wabaya wako si byshernger na babu ODM???
Sijui, niliwaona asubuhi wakimsuka suka nywele na kumpaka eye shadow

nikajiuliza, wameanza lini????
aa kumbeee. ngoja kwanza nikatafakari manake hio kolabo si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…