Wenye waume JF..TAHADHARI.

Wenye waume JF..TAHADHARI.

Mrs Matumbo uko wapi? Mbona umepotea mwaya?
Sorry, nimekosea jina. I meant Mrs Ma2mbo...
 
Duh!Mshapigana mibao tayari?

Kweli JF is more than a social network kwa mujibu wa Mwakalinga!

btw ni kweli wakongwe wa humu Chit Chat wanaume siwaoni kwenye hoja, whats happenin!?lol
 
Ni kweli hazitishi kihivyo hususan ukizingatia jinsi wana JF walivyotapakaa kila kona ya dunia.
!

Heheh subiri Mrs Matumbo airushe tindikali kwa njia ya barua pepe!

Wanaomrandia Mr Matumbo wakae ready
 
Kazi kweli kweli!!!!!!

Usiogope. Hatuibiwi. Tunajipendekeza wenyewe ajili ya magubu mlio nayo majumbani. JF inaondowa frustrations mnazotupa.
 
Be careful of your surroundings and all....

Manake usije mwagiwa tindikali bure
Hhhm. . . kwahiyo nikae mbali na wenye tindi kali au wanaolindwa na wenye tindikali?
 
Hahahaha. . . UNALO.
Chukua maujanja hayo usije ukaibiwa hata na mama ntilie.

Kwani mama ntilie hawana 'K'?.
Mngejua wanaume wanachotaka kwa wanawake hata msingejisumbua na mbwembwe zenu. Ndio maana ma-house girl kila kukicha wanawapiga bao.
 
Kwa wale wanawake wenye waume zao hapa Jf mchunge sana..umu kuna vijizi vya mabwana za watu,macho yao yako juu juu kuiba tu..
Sisi tuliopendwa tukapendeka,tuliotulia tukatulizana,tuliotunzwa tukatunzika tunaonewa wivu sana na vishankupe..
Wenye bahati zetu tuwe macho na vijizi vya waume za watu.

Wewe nawe, mtu mzima hachungwi, ongezeni maujanja, mie tena mke wangu nimeshamwambia afuatilie Post za Lizzy aone jinsi mwanamkwe unavyotakiwa kuwa na lugha laini lakini yenye kuonyesha unajiamini. Nimemwambia kabisa mama watoto mie Lizzy nimemzimikia sana ila kwakuwa tumeshafunga ndoa na yeye (mke wangu) basi yeye anawajibu wa kujifunza kutoka kwenye post za Lizzy ili niache kumfikiria Lizzy na nimuone mke wangu kama Lizzy, ooooh, Lizzy wewe, utaniua mie! teh teh teh!
 
wako bize
wanarudi home baada ya kuibwa
Jichunge sana, utaibwa sasa hivi

Duh!Mshapigana mibao tayari?

Kweli JF is more than a social network kwa mujibu wa Mwakalinga!

btw ni kweli wakongwe wa humu Chit Chat wanaume siwaoni kwenye hoja, whats happenin!?lol
 
Kwani mama ntilie hawana 'K'?.
Mngejua wanaume wanachotaka kwa wanawake hata msingejisumbua na mbwembwe zenu. Ndio maana ma-house girl kila kukicha wanawapiga bao.
Jaribu kusoma uelewe. . .
Hapo sikua naongelea huko ulikofikiria. . nilikua naongelea MAPISHI.
 
Wewe nawe, mtu mzima hachungwi, ongezeni maujanja, mie tena mke wangu nimeshamwambia afuatilie Post za Lizzy aone jinsi mwanamkwe unavyotakiwa kuwa na lugha laini lakini yenye kuonyesha unajiamini. Nimemwambia kabisa mama watoto mie Lizzy nimemzimikia sana ila kwakuwa tumeshafunga ndoa na yeye (mke wangu) basi yeye anawajibu wa kujifunza kutoka kwenye post za Lizzy ili niache kumfikiria Lizzy na nimuone mke wangu kama Lizzy, ooooh, Lizzy wewe, utaniua mie! teh teh teh!

Hahahahaha. . .kaaaazi kweli kweli!!
 
hivi kwanza
mie na bifi na wewe au la?

Sijui nikupe la plastic
ili uunguzwe japo kidigo
unajidai sana siku hizi

Hehehe! Kongosho umeona mbali.... Mie nipatie moja manake nimejitolea kumsaidia mrs ma2mbo kumwagia hao wezi wake...
 
Hahahahaha. . .kaaaazi kweli kweli!!

Unajua unaweza kuanzisha ki academy cha ufundaji wa akina mrs watarajiwa na ukatengeneza pesa sana....manake akina Bi. Hindu na Bi. Chau nao siku hizi wamekuwa ni wajasiriamali wa ufundaji na wanapata mshiko
 
hivi kwanza
mie na bifi na wewe au la?

Sijui nikupe la plastic
ili uunguzwe japo kidigo
unajidai sana siku hizi
Lol, unavyonipenda najua utanipa la chuma tu, mie sina bifu na wewe kabisaaaa.....nilishasema na narudia tena ukijitoa jf nami najitoa nakufuata huko huko niwe naendelea kucheka kwa raha zangu.... Kongosho OYEEEEE!!!
 
Zamani thread za kudondokea kwa nadra

Mpaka QK afurahi! Hahahah


Siku njema kwa wote
 
Jaribu kusoma uelewe. . .
Hapo sikua naongelea huko ulikofikiria. . nilikua naongelea MAPISHI.

Ndio maana nikasema kama mngejua vitu ambavyo wanaume wanajali sana, nyumba ndogo zingepungua. I may sound insane, but believe me "K" is first and foremost, and whatever a man is attracted to a woman, is always connected to how he perceives it connection to the sweetness/pleasure that is anticipated from the "K" interaction factor .
 
Back
Top Bottom