Mrs ma2mbo
Member
- Dec 27, 2011
- 49
- 23
- Thread starter
- #41
Hivi mume anaibwa? Au anajiiba?
watu wanaiba umu we zubaa tu.
Hivi mume anaibwa? Au anajiiba?
Umefulia mpaka umechuja na kupauka.
I'm out. . .
Umekumbuka kuja nayo? Manake nataka nimsaidie mrs ma2mbo kumwagia watu humu.Msinambie ile siku ya 'tindi kali' ndio leo
Duh
Bado hajakwapuliwa ila kuna dalili za kutaka kukwapuliwa ndio mana mrs matumbo kashtuka!
Kweli mwaya, mie pia uniite nikusaidia kumdunda mangumi, wasione vyaelea ati!nimeshtuka haswa shostito,na nikimfuma mtu kichapo tu.
Pole shostisto, pambana bana manake ni haki yako kuchunga mzigo wako....
Msinambie ile siku ya 'tindi kali' ndio leo
Duh
Jukwaa la Mipasho.... :violin:
mwanamke mipasho bibi wewe!na ntawapasha sana mashankupe wote.
Unapoteza nguvu zako tu shosti, unaweza kupiga makelele hapa kumbe wenzio wanabanjuana muda huu...
Hivi unapasha kwenye keyboard kweli hata huyo shankupe mwenyewe si anaacha tu kusoma huu uzi afu anaendeleza mashambulizi ya kimya kimya.... Pole mwaya...
Sisi tuliopendwa tukapendeka, tuliotulia tukatulizana, tuliotunzwa tukatunzika tunaonewa wivu sana na vishankupe...
Jukwaa la Mipasho.... :violin:
mwanamke mipasho bibi wewe!na ntawapasha sana mashankupe wote.
Umekumbuka kuja nayo? Manake nataka nimsaidie mrs ma2mbo kumwagia watu humu.
Mrs ma2mbo keshavaa pensi nyanya kuna kupigwa kweli hapa Gee?,..Hahahah mkipigwa mie simo.....
Hahahaha! Chezeiya Mrs ma2mbo weye??? Eti havijai mkononi...dah.yani nakwambia hapa nimevaa pensi nyanya,yoyote akijitojeza namuwashia moto..tena vianamke vingine ata mkononi avijai.
Kaaaazi kweli kweli!!
Yale yale ya multipe IDs. . . mbona hukuanzisha hii thread na ID yako ya siku zote ili watu waamini unachosema? Au wewe ndio mwizi na unaemuabia kashajua(labda mume kakata hata mawasiliano na wewe kwa muda) sasa unamtafuta unaemuibia kijanja?
watu wanaiba umu we zubaa tu.