Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Like like like
only they know the truth. I can just conjecture. Kwa hiyo inawezekana labda kuna vi beef nje ya jf ambavyo vinaletwa humu jf. Au inawezekana labda hivyo vi beef vimeanzia humu humu jf na watu hawawezi kuambiana yaliyo mioyoni mwao kwa id zao za siku zote na hivyo kuibuka na id mbadala na kuanza kurusha vijembe vya hapa na pale. Again, this is all conjecture.