meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Tabia gani hiyo?
Kungangania madarakani kwa gharama yoyote ile..sema Gbagbo yeye kwake kimenukaa...ivory coast si bongo .
Unaonekana wewe na mambo ya siasa ni mbalimbali.Tabia gani hiyo?
Tabia gani hiyo?
za kuchakachua kura na kung'ang'ania madaraka japokuwa hawakubaliki na hawana uwezo wa kuongoza
hivi jk akiiona hii picha kwa sasa inakuaje?