uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,703
- 37,950
hadi raha
Kabisa, mimi ngumu sana kupambana na mpangaji.
hadi raha
Si kila anayepanga hana nyumba..Suala Ni kulipa Kodi, utaki kajenge yako
Hata mie kudaiwa naona aibu na kudai pia sijui.. Ila watu wanatufunza roho ngumu.ila mie muoga wa kudaiwa, cjui huww nafeel aje, hata kukopa naogopaa, yaan najistukiaa tyuuh.
Nashukuru baba mwenye nyumba wangu cmjui na cjawahi muona kwa sura, namsikia kwa sauti nikiwa nataka kumfanyia malipo yake kwa cm.
Kuna wenye nyumba ni kiboko kwa kudai, kuna shost angu nusu atolewe vitu nje kisa alichelewa kulipa, na wakat huo alikua likizo kwao.Hata mie kudaiwa naona aibu na kudai pia sijui.. Ila watu wanatufunza roho ngumu.
Kipindi nimepanga, nikikosa kodi nakosa pozi kabiisa, ila maza house wangu alikuwa hana tabu, nampanga mapema anaelewa, ila nampambania kinoma sababu alikuwa ni mjane, kazi ya ufundi na vyumba kadhaa ndio vinamuweka mjini. Nikivusha saana ni siku 3 hivi.









Inatakiwa kila akija akukute na huzuni tu ume jinyooshea miguu kibarazani na midomo imepauka ndio atajua kweli umetingwa![]()




Umenikumbusha kisa cha mwanangu alipata maza houz kiswaswadu, alitaka kutolewa vitu ndani na hali mama mkwe wake yupo pale na mkewe ndio katoka kujifungua, ni fedheha kwa kweli. Kuna watu hawana utuKuna wenye nyumba ni kiboko kwa kudai, kuna shost angu nusu atolewe vitu nje kisa alichelewa kulipa, na wakat huo alikua likizo kwao.
Kurud palee mzee kawaka hatarii,
Siku ile nilimuonea huruma shost, nkamuambia ampe kodi yake na afanye mpango ahame pale sio.
Mie siwezi ishi nyumba na mmiliki hapo hapo, na wapangaji wasizidi 4, yaan wawe 3 na mie niwe wa 4.
Wakizidi sikai hapo mie.![]()
Wenye nyumba n hatariHa ha ha...
Na vyombo viwe vichafu akiashiria kukosa hadi ela ya sabuniInatakiwa kila akija akukute na huzuni tu ume jinyooshea miguu kibarazani na midomo imepauka ndio atajua kweli umetingwa 😃
ni pm binti yangu namaongezi na wewe kidogo kama hutojalidar bamdogo
HUyo mwenye nyumba wa aina hiyo ana shida zake tu.habari zenu,
wenye nyumba zenu mliopangisha na mpo humu, hebu kuweni waelewa muda mwingine jamani..
mtu anakulipa kodi siku zote on time bila maneno wala kelele, amekwama mwezi mmoja anaomba umvumlie hutaki kuelewa khaa.
hakuna mtu anapenda kudaiwa kila mpangaji anajua wajibu wake wa kulipa kodi ila kuna muda mipango sio matumizi muwe mnaelewa..
maisha hayapo hivyo jamani kuna kupata kuna kukosa mtu akikwama muwe mnawaskiliza..
wapangaji nao ni watu wanapaswa kusilizwa sio kuwanyanyasa…
msinichambe..
Unakuta mwenye nyumba hana kazi nyingine amestafu labda, nyumba ndio kila kitu kwake. Kumchelewesha kulipa kunamfanya muda mwingine alale na njaa maana matumaini yote alishaweka kwako na hukumpa taarifa mapema kwamba mambo hayapo vizuri. Au ukute na yeye alikopa huko akawaambia nachukua kodi tarehe fulani.habari zenu,
wenye nyumba zenu mliopangisha na mpo humu, hebu kuweni waelewa muda mwingine jamani..
mtu anakulipa kodi siku zote on time bila maneno wala kelele, amekwama mwezi mmoja anaomba umvumlie hutaki kuelewa khaa.
hakuna mtu anapenda kudaiwa kila mpangaji anajua wajibu wake wa kulipa kodi ila kuna muda mipango sio matumizi muwe mnaelewa..
maisha hayapo hivyo jamani kuna kupata kuna kukosa mtu akikwama muwe mnawaskiliza..
wapangaji nao ni watu wanapaswa kusilizwa sio kuwanyanyasa…
msinichambe..
Huyo hajitambui, kwanini alikaa kwako wakati anajua kuna sehemu wanaweza kukaa miezi 6 bila kusumbuliwa!Kuna muda wapangaji wenyewe wanazingua,nimempangisha dogo mmoja na mkewe wanajitafuta kimaisha.Maana hata sielewi wanachofanya,hajalipa Kodi yangu zaidi ya miezi minne sasa juzi naliuliza hela yangu vipi January hii lilivyokosa akili linanipandishia eti kuna wapangishaji wengine wanakaa hata miezi sita bila kusumbua nimeliambia ikifika tarehe 31 nisimuone.Hakuna asiyeelewa hali ya maisha ilivyo lakini ukishindwa kutimiza wajibu wako uwe hata na busara.
Hakuna mwenye nyumba ambaye hategemei nyumba kwa maisha yake. Ule ni mradi wake ndio maana alijenga za kupangisha...ila tu wawe waelewa na wavumilivuUsipange nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi hapo na usipange nyumba ambayo mwenye nyumba naitegemea kwa maisha yake.
Mtu ana nyumba zaidi ya tano zina wapangaji mnaweza msionane hadi unahama.Anategemea kodi. Kuna nyumba unapanga mpaka unahama hujawahi kumwona mwenye nyumba au mlionana mara moja ndai ya miaka 3
Wapo mkuu. Kuna watu wanajenga nyumba na hawana time nazo. Mimi nimeishi sehemu mbili wenye nyumba hata kodi anasahau inaisha lini mpaka umkumbushe. Kuna watu wana ela ni vigogo serikalini wanachukua maeneo wanajenga tu ana utitiri wa nyumba basi kujenga kwake ni kama ugonjwa tu.Hakuna mwenye nyumba ambaye hategemei nyumba kwa maisha yake. Ule ni mradi wake ndio maana alijenga za kupangisha...ila tu wawe waelewa na wavumilivu
Kuomba akuvumilie kwa muda ndio kuomba kwenyewe ukute NAE ameshaipangia bajeti ya ada ya watoto😂😂 any way hope everything will be ok soon , ni suala la mudami sijaomba msamaha swala ni anatakiwa kusubiri pesa ni haki yake atapata ila itachelewa kidogo