that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 386
- 1,247
- Thread starter
- #61
haaa sasa huyo kazingua mimi nimeomba wiki 3 kabla ya tarehe yanguKuna muda wapangaji wenyewe wanazingua,nimempangisha dogo mmoja na mkewe wanajitafuta kimaisha.Maana hata sielewi wanachofanya,hajalipa Kodi yangu zaidi ya miezi minne sasa juzi naliuliza hela yangu vipi January hii lilivyokosa akili linanipandishia eti kuna wapangishaji wengine wanakaa hata miezi sita bila kusumbua nimeliambia ikifika tarehe 31 nisimuone.Hakuna asiyeelewa hali ya maisha ilivyo lakini ukishindwa kutimiza wajibu wako uwe hata na busara.