habari zenu,
wenye nyumba zenu mliopangisha na mpo humu, hebu kuweni waelewa muda mwingine jamani..
mtu anakulipa kodi siku zote on time bila maneno wala kelele, amekwama mwezi mmoja anaomba umvumlie hutaki kuelewa khaa.
hakuna mtu anapenda kudaiwa kila mpangaji anajua wajibu wake wa kulipa kodi ila kuna muda mipango sio matumizi muwe mnaelewa..
maisha hayapo hivyo jamani kuna kupata kuna kukosa mtu akikwama muwe mnawaskiliza..
wapangaji nao ni watu wanapaswa kusilizwa sio kuwanyanyasa…
msinichambe..