Wenye nyumba kuweni waelewa

Wenye nyumba kuweni waelewa

Mkuu jifunze kutengeneza budget yako mwenyewe...plan budget yako.
Kodi sio emergency, ni kitu unajua ukilipa leo inaisha tarehe flani
 
Kuna wengi wapo hivyoo mweke kwenye maombi au mwangie makusudi ukae mwaka mzima bila kodi unalipia tu maji . Nilimuweka wangu before hapa alinisumbua mikamweka kwenye maombi akawa haji kuomba kodi tena mpaka nilipomfungulia kwa maombi tena
 
Kuna wengi wapo hivyoo mweke kwenye maombi au mwangie makusudi ukae mwaka mzima bila kodi unalipia tu maji . Nilimuweka wangu before hapa alinisumbua mikamweka kwenye maombi akawa haji kuomba kodi tena mpaka nilipomfungulia kwa maombi tena

dah
 
Pole sana ndugu kwa changamoto hiyo ya kodi.
Ila tambua pia wenye nyumba na sisi tuna mahitaji yetu na pia tunajenga nyumba na kuzipangisha kama vitega uchumi,wengine tunakopa benki tukitegemea kodi kulipia hiyo mikopo ukichelewesha benki zinakupiga riba.
Ila Kama huyo mwenye nyumba wako alishawahi au ana kawaida ya kukukopa fedha hapo katikati na wewe ukawa unamsaidia na wewe unaweza kuwa na gut ya kumuomba akukopeshe muda wa ziada ila umlipe ila kama alikuwa hana kawaida hiyo ni wajibu wako kumlipa fedha zake kwa wakati.
Nyumba za kupangisha ni biashara kama biashara nyingine huwezi kwenda kwenye biashara ya mtu lets say dukani kwa mtu ukalazimisha ukopeshwe ndugu
 
Back
Top Bottom