babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,967
- 20,298
Tena yuko nje ya goli ndo kwanza anasaka mpira😅😅😅Kipa nae katoka golini 😂
Tena yuko nje ya goli ndo kwanza anasaka mpira😅😅😅Kipa nae katoka golini 😂
Njaa & umaskini ni mbaya sana mkuu Yani hazijifichiAnategemea kodi. Kuna nyumba unapanga mpaka unahama hujawahi kumwona mwenye nyumba au mlionana mara moja ndai ya miaka 3
Ila kuna jamaa pale kasema we sogea bure tu.ajikaze tu hela sina, sina pa kukopa, sina nnayoisikilizia nipo hoves labda utokee muujiza
Wenye nyumba tu waelewa sana,tatizo ni kwamba baadhi yetu hadi tujenge tunakopa bank,Vicoba,kausha damu hadi tepesha shavu ndo nyumba ikamilike.Marejesho yanatakiwa kwa wakati na wao hawapokei maneno eti nimekwama.Wapangaji kuweni waelewa jamani.habari zenu,
wenye nyumba zenu mliopangisha na mpo humu, hebu kuweni waelewa muda mwingine jamani..
mtu anakulipa kodi siku zote on time bila maneno wala kelele, amekwama mwezi mmoja anaomba umvumlie hutaki kuelewa khaa.
hakuna mtu anapenda kudaiwa kila mpangaji anajua wajibu wake wa kulipa kodi ila kuna muda mipango sio matumizi muwe mnaelewa..
maisha hayapo hivyo jamani kuna kupata kuna kukosa mtu akikwama muwe mnawaskiliza..
wapangaji nao ni watu wanapaswa kusilizwa sio kuwanyanyasa…
msinichambe..
Duh mbna hatari haoUtahamishwa tu. Kuna kikundi hicho mbagala huko kazi yake kushughulika na wapangaji wakakorofi tu. Hao wanafatana na wewe kila unapokwenda bila wewe kuelewa, ukitowa pesa tu wanakukaba wanachukuwa kwa nguvu wanakwambia, ahsante, hii kodi unayodaiwa. Sasa nenda kashitaki kuwa umeshalipa kodi. Na risiti wanakupa.
Hao hata panya rodi wana afadhali.
Labda haupo Dar wewe.
Huyu naye 😂😂Hakuna cha kuelewa, zipo nyumba za bure za serikali. Nenda ustawi wa jamii.
Wenye nyumba wote wa jf wamekusikia. Tatizo ni kwamba inawezekana mwenyenyumba wako hayumo humu. Delivery Report: Unsuccessful/not senthabari zenu,
wenye nyumba zenu mliopangisha na mpo humu, hebu kuweni waelewa muda mwingine jamani..
mtu anakulipa kodi siku zote on time bila maneno wala kelele, amekwama mwezi mmoja anaomba umvumlie hutaki kuelewa khaa.
hakuna mtu anapenda kudaiwa kila mpangaji anajua wajibu wake wa kulipa kodi ila kuna muda mipango sio matumizi muwe mnaelewa..
maisha hayapo hivyo jamani kuna kupata kuna kukosa mtu akikwama muwe mnawaskiliza..
wapangaji nao ni watu wanapaswa kusilizwa sio kuwanyanyasa…
msinichambe..
rudisha mpira kwa kipa sio dhambii
yupo kipo wapi?Achana huyo mjinga, njoo kuna chumba self hakina mtu ukae miezi 7 usepe.
Nahitahi mtu aishi kisiharibike
"'ulivyokuwa Unapanda juu ya meza kidimbwi na kitambaa cheupe Ile Xmas nlikuwa nakuchora tu,na Kwa taarifa yako ww ndie unachelewesha ada za watoto na unajua shule jumatatu,jipange" Mimi mwenye nyumba wako.
ni pm binti yangu namaongezi na wewe kidogo kama hutojali
Unakuta mwenye nyumba hana kazi nyingine amestafu labda, nyumba ndio kila kitu kwake. Kumchelewesha kulipa kunamfanya muda mwingine alale na njaa maana matumaini yote alishaweka kwako na hukumpa taarifa mapema kwamba mambo hayapo vizuri. Au ukute na yeye alikopa huko akawaambia nachukua kodi tarehe fulani.
Binafsi nimepanga na nimepangisha, naelewa adha ya pande zote yaani mpangaji na mpangishaji.
Kuomba akuvumilie kwa muda ndio kuomba kwenyewe ukute NAE ameshaipangia bajeti ya ada ya watotoany way hope everything will be ok soon , ni suala la muda
Tena yuko nje ya goli ndo kwanza anasaka mpira![]()
Ila kuna jamaa pale kasema we sogea bure tu.
Au unataka na matarumbeta