Wema Sepetu Na Mpenzi Wake MPYA

Wema Sepetu Na Mpenzi Wake MPYA

RISASIFRONT2.jpg

wema akipata busu na mpenzi wake mpya

sipati picha ukubwa wa K yake kila mtu kapita
 
Kama una hela mtafute utampata. We unafilia wema anapenda mtu yule ni kama basi mwenye nauli yake mkononi anapanda sasa utakaa kujadili wema wema mwenzio yuko kazini muulize diamond,
 
Wema ni kama Pombe ya ngomani kila mtu anachota anakunywa.
 
kwetu sie waswahili kila mtoto wa ndugu ni mwanao. Ila mie inabidi niwe dadako mkulu manake Kongosho ni mamangu wa kambo, lol. So gfsonwin unamuita mama pia, thawa?

mzima King'asti??
naona gym jamani tumeisusa are we real serious?? ama mpaka blood presha na vishugaz plus kolestro vitunyemelee ndo tutaenda kwaajili ya tiba??
 
hope huyu ni wa mwisho jman..nakuombea iwe ivo!!
 
Mkuu George J Minja Pamoja na mvuto wake wema hatulii na Mwanamme mmoja kazi yake kubadilisha wanaume kama nguo ya ndani mtu anavyobadilisha tabia sio nzuri hiyo leo ana huyu kesho yule yule mvuto wake hauna faida yoyote wema ni sawasaw na kunguru anaye hama hama.

Simfahamu vizuri sana bi Wema, lakini isije ikawa yeye ni kati ya mabinti ambao wanakuwa na bahati mbaya za kuangukia relationship mbaya (za kukurupuka na kufikiri wapendwa kumbe watumika). Matokeo yake anamwagwa na yeye kuishia kupaparikia relationship nyingine tena. If this goes on and on, ni yeye ndio atakayeonekana 'kunguru asiyefugika' na siyo mwanaume. Just think of hao wakaka alioachana nao, are they not into new relationships?
 
Back
Top Bottom