Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Inaonesha commands zote anatoa Wema...hata jinsi alivyomshika jamaa yake kunajieleza
kwahiyo siku hizi wewe ni mtu wa maziwa sio??
hongera sana kwa hilo.
Am sure kitakachofuata ni jamaa kuachwa na kutambulishwa mwingine.....chezea wema wewe......huyu dada itafikia kipindi hata akitembea uchi hakuna atakayeshangaa.After introducing her house, Now, she is introducing her "hubby", what is the next introduction?
Mkuu George J Minja Pamoja na mvuto wake wema hatulii na Mwanamme mmoja kazi yake kubadilisha wanaume kama nguo ya ndani mtu anavyobadilisha tabia sio nzuri hiyo leo ana huyu kesho yule yule mvuto wake hauna faida yoyote wema ni sawasaw na kunguru anaye hama hama.lakini wema anamvuto sana aisee
Hapo chini huyu jamaa anapuliza jani au nini?
After introducing her house, Now, she is introducing her "hubby", what is the next introduction?
mwenye no yake ya simu sitaki msimu upite bila......sawa amejichubua lkn hajazeeka sura manake sio skin aging kwake zaid ya kuwa mweupe. ukweli ni kwamba ana mvuto ila tabia zake zinafanya watu wamclassify kwa namna ambazo ni mbaya tu na hata afanye nn bado ataonekana mwovu unless abadilike juu ya kudandia wanaume.
nmetafakari hivi wanaume waliowah kuwa nae kimahusiano huwa wanajiskiaje nashindwa kuelewa kabisa, na kuonyesha kwamba yuakoa juu zaid akipigwa chini miez miwili mingi anapata mbadala. kweli bidada ana mvuto.........LOL!
wima na dayamondi wanashindana kuvua nguo za ndani!! utadhani walilelewa kwenye danguro halafu wanajiita "kioo cha jamii" :A S angry:. ukipata malezi mazuri mshukuru Mungu kwa kukupa wazazi waliojituma na kutimiza wajibu
mama Kongosho kaniwahi, labda wewe uwe mama mdogo 🙂
basi tuishie hapo 🙂aaah! wajua nakucanganya sana na clain wangu?? huwa napata hisia kwamba ni wewe sijui kwann, na sitak kumuuliza kwani kama siye atabaki na maswali mengi san akichwani mwake.
una looks kama zake kwenye mwandiko wako.
Nonsence, achaneni na wema hamna issue zingine watanzania bwana, hovyo kabisa.