Wema Sepetu Na Mpenzi Wake MPYA

Wema Sepetu Na Mpenzi Wake MPYA

Ha ha ha ha a ha ha, hujatulia kabisa wewe

Anapenda 'radha' tofauti tofauti

ndo maanake yeye hajitambui kabisa lakini ndo hivyo akiipata akikaa nayo inamkifu anataka abadili radha
 
Kwahiyo kila akipata mpenzi mpya lazima Tanzania tufahamishwe kwa picha za magazetini? Kazi anayo!
 
sipati picha ukubwa wa K yake kila mtu kapita

Mkuu kama mpira wa manati ule.. unavutika but unarudi kwenye original size yake pindi unapoachiwa.. Mnato wa nguvu na ukiongeza experience ya kukutana na different bazookas amewaacha wengine mbali..
 
Duuu huyu demu anahustle kutafuta masela aile mbaya ila fresh ndo maisha komaaa bidada

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mwanamke akishajichubua tu kwangu anakosa mvuto.

Kama nataka mwanamke mweupe kwa nini nisitafute mweupe asilia?

Kiranga;
Kwa mbali nikijaribu kufuatilia posts zako kuhusu huyu binti, naweza kusema kuwa unamu-admire sana. Pengine huna namna ya kujichomeka ili uweze kumpata sasa unajaribu ku-neutralize hizo frustrations ulizonazo kuhusu yeye kwa kujaribu kumkandia, those old, classical styles za kumlazimisha kijanja lady ajisikie yuko down halafu akuone wewe super, na umpate kirahisi kama uko karibu naye. Yaani unam-trick mpaka uhakikishe kwamba yeye anajiona choo halafu wewe juu, na especially kama ni subordinate wako ambaye unamtaka ila kuziingiza moja kwa moja unaona unaweza kugonga mwamba halafu ukadhalilika.

Kwa upande mwingine pengine yaweza kuwa unachoongea ni sawa na feelings zako, ila inakuwa vigumu kumhakikishia mtu kuwa unachoongea ndiyo kile kilichoko ndani ya roho yako!

Ningekushauri uwe wazi tu, possibly kama nilivyo mimi,..., kwamba hiki kisichana ni kizuri hata mimi mwenyewe nakipenda. Wewe je, Kiranga, ni kweli unayoongea hata ndani ya moyo wako mtu aweaza kuyasoma hivyo?
 
Mungu ni mkubwa. Kama angefanya zile vitu zikawa disposable, ungekuta wema hana tena kitu.
 
binafsi simlaumu kwani ni kama watu wakawaida tena inawezekana kuna watu humu Wema hajawafikia hata robo kwa wapenzi waliowahi kudate nao, acheni zenu bana!
 
ndo maanake yeye hajitambui kabisa lakini ndo hivyo akiipata akikaa nayo inamkifu anataka abadili radha

Pengine anachofurahia ni hili tunalolifanya sasa, yaani ni misifa tu, huenda hata haoni tofauti kwenye hilo tendo kwani angekwishaonja iliyo tamu zaidi ya kumfanya atulie nayo!
 
Hata mimi nakubaliana na wewe.Mbona yetu kapuni tena ya aibu sana.

Hatutaki yatoke nje, kwani hili wewe ulilifuata kwake au kakutumia yeye kwa kutumia chombo cha habari? Unafikiri hakuna wanaofanya zaidi ya anavyofanya yeye? Lakini unapofanya jambo mbele ya hadhara ya watu una maana kuwa unataka kuwahusisha wengine. Tunajenga majumba kufanyia mambo yetu ili tusiwahusishe wengine!
 
Nadhani hata huyo mwanaume anayemkubali anakuwa na lake jambo! wewe mtu keshacharangwa na midume kibao tena kwa matangazo magazetini halafu nawewe unakwenda tena kwa kujionesha! lazima kuna kutokukamilika kichwa hapo
 
sawa amejichubua lkn hajazeeka sura manake sio skin aging kwake zaid ya kuwa mweupe. ukweli ni kwamba ana mvuto ila tabia zake zinafanya watu wamclassify kwa namna ambazo ni mbaya tu na hata afanye nn bado ataonekana mwovu unless abadilike juu ya kudandia wanaume.

nmetafakari hivi wanaume waliowah kuwa nae kimahusiano huwa wanajiskiaje nashindwa kuelewa kabisa, na kuonyesha kwamba yuakoa juu zaid akipigwa chini miez miwili mingi anapata mbadala. kweli bidada ana mvuto.........LOL!

Kwenye red: mwanamke kupigwa chini na kupata mwanaume mwingine haina maana huyo mwanamke yuko juu hapana, wanaume wengi ni walafi hawaachi K, wanaume wenye tabia ya kutafuna-tafuna wako wengi mno, hata wewe toka nje ya nyumba yako jilegeze kidogo uone kama wanaume watakuacha. Atapata wanaume wengi tu wakumtafuna lakini wa ku-settle nae cha kueleweka ndio shughuli. Atawaongeza tu kwenye CV yake hadi hapo atokee mchafu wa tabia mwenzake ndio kinaweza kueleweka permanently. Hakuna mwanaume decent atakayeoa wema.
 
Movie mpya ya Wema Sepetu na Mabwana imeanza!! Haya tusubiri!!!
 
sawa amejichubua lkn hajazeeka sura manake sio skin aging kwake zaid ya kuwa mweupe. ukweli ni kwamba ana mvuto ila tabia zake zinafanya watu wamclassify kwa namna ambazo ni mbaya tu na hata afanye nn bado ataonekana mwovu unless abadilike juu ya kudandia wanaume.

nmetafakari hivi wanaume waliowah kuwa nae kimahusiano huwa wanajiskiaje nashindwa kuelewa kabisa, na kuonyesha kwamba yuakoa juu zaid akipigwa chini miez miwili mingi anapata mbadala. kweli bidada ana mvuto.........LOL!
Ujausisikia wimbo wa beyonce? Irreplaceable? Amigo/a...... That's her she is hotter than virgin girl!
 
Back
Top Bottom