Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,243
Hata mimi nakubaliana na wewe.Mbona yetu kapuni tena ya aibu sana.Hayatuhusu. Hii sasa ni kuingilia private life za watanzania.
Hata mimi nakubaliana na wewe.Mbona yetu kapuni tena ya aibu sana.Hayatuhusu. Hii sasa ni kuingilia private life za watanzania.
Mkuu naona umemkomalia kweli binti.Bidada anazeeka, angalia mishipa ya damu!
Bibie Dina Kwa Historia yake hii Wema hawezi kukaa na Mpenzi mmoja mpaka A Balance sana amapate mtu makini ndio anaweza kukaa na kuolewa pasipo na hivyo atakuwa akizunguka kama Kunguru asiye fugika hebu soma Historia yake Wema Sepetu hapa chiniSimfahamu vizuri sana bi Wema, lakini isije ikawa yeye ni kati ya mabinti ambao wanakuwa na bahati mbaya za kuangukia relationship mbaya (za kukurupuka na kufikiri wapendwa kumbe watumika). Matokeo yake anamwagwa na yeye kuishia kupaparikia relationship nyingine tena. If this goes on and on, ni yeye ndio atakayeonekana 'kunguru asiyefugika' na siyo mwanaume. Just think of hao wakaka alioachana nao, are they not into new relationships?
Mkuu George J Minja Pamoja na mvuto wake wema hatulii na Mwanamme mmoja kazi yake kubadilisha wanaume kama nguo ya ndani mtu anavyobadilisha tabia sio nzuri hiyo leo ana huyu kesho yule yule mvuto wake hauna faida yoyote wema ni sawasaw na kunguru anaye hama hama.
bibie Nyamayao Pamoja na hivyo unavyosema hajampata mtu wa kufanana nae kitabia ndio maana kila mwanamme akianzana nae hakawi kuachana nae Tabia ya wema kimapenzi hii hapa chini:mie naonaga kama huyu dada anajua kupenda but hajapata wa kupendwa nae, sijui uchaguzi mbaya ama vipi, but bora yeye anafanya hadharani wengine wetu tunafanya makubwa zaidi yake sema tu hatuna jina/kwa kujificha, hajapata wa kumpenda tu, kanapendeka sana tu.
Haluwa haina makombo, ulaji wake ni kumegwa kwa zamu na kila mmoja hujiramba vidole!
hapo red ina maana gani? sijaelewa
bibie Nyamayao Pamoja na hivyo unavyosema hajampata mtu wa kufanana nae kitabia ndio maana kila mwanamme akianzana nae hakawi kuachana nae Tabia ya wema kimapenzi hii hapa chini:
UHUSIANO WA KIMAPENZI
(Punda na Mizani)
Tabia ya Punda ya haraka haraka. Vishindo na kutumia nguvu bila kufikiria, hulainishwa au kuzimwa na diplomasia, uerevu na ujanja wa mizani. Punda vile vile hupendezwa na uwezo au kipaji cha mahaba walichonacho wenye nyota ya mizani.
Wema akitaka ampate mume wa ukweli basi ampate mwanamme mwenye nyota ya NYOTA YA PUNDA ndie atakuwa ni mume wake wa maisha Mwanamme aliyezaliwa
tarehekati ya tarehe 21st March mpaka tarehe 19 April ya mwaka wowote. Akimpata mtu wa kuzaliwa Tarehe hizo basi atakuwa ni mume wake
wa kufa na kuzikana lakini hao wengine wanamchezea maisha yake tu kwa sababu yeye wema kazaliwa Tarehe 28 Septemba na nyota yake ni Mizani mwenzi wake ni nyota ya Punda na akimpata mtu
aliyezaliwa kuanzia tarehe 21st March mpaka tarehe 19 April ya mwaka wowote basi ndio wataelewana vizuri kabisa na ndio atakuwa ni mume wake wa maisha huu ndio ushauri wangu mimi.
Chanzo. MziziMkavu. Email Fewgoodman@hotmail.com
Ila huyu mtoto ana kitu, basi tu hajaongozwa akitumie wapi.
Ona uzi wake tu
There are currently 60 users browsing this thread. (24 members and 36 guests)
mtoto huyu anapenda sana kuonja onja kila size akipata hogo la jang'ombe anakumbuka bamia akipata bamia anakumbuka ukuni akipata ukuni anakumbuka tango maisha yanasonga
Chanzo. MziziMkavu. Email Fewgoodman@hotmail.com[/SIZE]