Madhara ya mkorogo hayo, wala si uzeeBidada anazeeka, angalia mishipa ya damu!
Hapo chini huyu jamaa anapuliza jani au nini?
Madhara ya mkorogo hayo, wala si uzee
Bidada anazeeka, angalia mishipa ya damu!
sawa amejichubua lkn hajazeeka sura manake sio skin aging kwake zaid ya kuwa mweupe. ukweli ni kwamba ana mvuto ila tabia zake zinafanya watu wamclassify kwa namna ambazo ni mbaya tu na hata afanye nn bado ataonekana mwovu unless abadilike juu ya kudandia wanaume.Sasa si ndoo mkorogo unazeesha.
We hujawahi kuona mtoto mdogo sura ka Bi Kidude kwa sababu ya mipombe? Anazeeka kwa pombe huyo.
sawa amejichubua lkn hajazeeka sura manake sio skin aging kwake zaid ya kuwa mweupe. ukweli ni kwamba ana mvuto ila tabia zake zinafanya watu wamclassify kwa namna ambazo ni mbaya tu na hata afanye nn bado ataonekana mwovu unless abadilike juu ya kudandia wanaume.
nmetafakari hivi wanaume waliowah kuwa nae kimahusiano huwa wanajiskiaje nashindwa kuelewa kabisa, na kuonyesha kwamba yuakoa juu zaid akipigwa chini miez miwili mingi anapata mbadala. kweli bidada ana mvuto.........LOL!
mwanamke akishajichubua tu kwangu anakosa mvuto.
Kama nataka mwanamke mweupe kwa nini nisitafute mweupe asilia?
hahahah! Kiranga bana kumbe umesema kazeeka kwasababu ya dislikes zako sio?? Lkn sio kweli kwamba kazeeka.
Ukweli ni kwamba kujichubua ni kubaya sana hasa matumizi ya hydroquinoine na mercury. Waache wangojee melanoma carcinoma.
kwahiyo siku hizi wewe ni mtu wa maziwa sio??Kuzeeka as in ku age.
Mzee anaweza asizeeke kutokana na anavyojiweka, na kijana akazeeka.
Wazoefu tukitaka kujua umri sehemu moja ambayo haiongopi ni mikono.
Na hiyo mikono ishaanza kuchoka, whether kwa age au mkorogo.
Net result = kuzeeka.
Mie ndo maana nikaacha ugimbi mwaka huu.