Naila mchawi mkubwa kapotea baada ya godfather kupigiwa maombi ya nguvu,isijekua huko aliko kapoteza network [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] yule mwanamke mwanga kama alianza na hajafanikiwa atarudia tena mjiandae tu...ila mna bahati sasa hivi tungeanza kiwaita team no marinda[emoji23] [emoji23]
C ndo hapo mkuu, uchawi na wanga tena????[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mbona unaanza kukana team yako sasa??baki na naila tu...ila mwanamke mwanga yule[emoji23]
Ntafurahije sasa maana uchawi una mwisho wakeNaila mchawi mkubwa kapotea baada ya godfather kupigiwa maombi ya nguvu,isijekua huko aliko kapoteza network [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23][emoji23]uchawi umemrudia isijekuwa na yeye kapata strokeNaila mchawi mkubwa kapotea baada ya godfather kupigiwa maombi ya nguvu,isijekua huko aliko kapoteza network [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ety team no marinda.. Siza bandidu kuliwa marinda hakupo[emoji23] [emoji23] yule mwanamke mwanga kama alianza na hajafanikiwa atarudia tena mjiandae tu...ila mna bahati sasa hivi tungeanza kiwaita team no marinda[emoji23] [emoji23]
Huyo mtu ni she na fighter kama Leila?? Biography mpe lara 1 , mi naomba Namba ya simu tu.
[emoji23] [emoji23] kuokoka si kitu rahisi rahisi wewe..ila mi niko nae tu hata aende kuzimuMi nilijua baada ya Godifaza kuombewa na kupona ataokoka...kumbe karudi mzigoni tena with one goal in sight
Sasa alichokuwa anamkatazia mama watatu asijihusishe na ngada business ni nini? Binadamu ni mjanja akiwa mzima ila akiumwa aaaah!🙂🙂🙂🙂[emoji23] [emoji23] kuokoka si kitu rahisi rahisi wewe..ila mi niko nae tu hata aende kuzimu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hakutaka familia nzima iingie kwenye ngada. Alikuwa anajua mikiki ya hukoSasa alichokuwa anamkatazia mama watatu asijihusishe na ngada business ni nini? Binadamu ni mjanja akiwa mzima ila akiumwa aaaah!🙂🙂🙂🙂
We are waiting [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Jamani ndo naandika sasa hivi! Uwiiii!