lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Godfather ana haribu sasa kwann asifurahie juhudi z mkewe mfyuuuu
Dude nishaweka X rated. Rudi nyumaaa nimeweka mda si mda
The return of Godfather.
Sikutegemea salehe nae kawa shogaa tena shosti wa Leilaaa. Tobaaaa! What is going on. Sikukubali kushindwa kirahisi na mwanamke. Nikatoa angalizo anaebakia na leila kushoto, anaebakia na mimi kulia. Hamuwezi amini wote walienda kushoto kwa Leila. Kulia alibakia Babuu peke yake, nae ansisitiza nakuonea aibu tu mtu mzimamwenzangu kwenda kule, ila mimi roho yangu Leila mtupuuu. Nilichokaaaaa ndugu msomajiii. Nilichokaaaa. Leila sijui aliwapikia nyama ya tako watu wote hawa, haiwezekani miakami 5 tu wanikane kama Petro. Nikamuuliza Ommy hadi wewe? Anaangalia chini kakomaa kule kule kwa Leila. Nikamuuliza K na wewe pia man? Anaanhalia pembeni kakomaa kule kule.
Ghafla akaingia Leila mwenyewe. Basi ndo wanzidi kuniangalia vibayaaaa. Akataharukiii kunionaaaa.
ITAENDELEA KESHO.
Nimechelewaje mkuu???Japo umechelewa, kwani uko team gani?
hahaha we noumaaAh hiz tim majanga, me team lara 1
Ndo hvo mkuu, nilkuw team naila bt aib tupuhahaha we noumaa



nacheka kama mazuri vile...halaf team naila vipi tena?nmataka kumfanya mwenzenu awe team no marinda ndio nini sasa??

...Ah hiz tim majanga, me team lara 1
mkuu mbona unaanza kukana team yako sasa??baki na naila tu...ila mwanamke mwanga yule
Ehheehhe si bora hajawa marinda less. Sisi mwanzo mwisho team Siza.Team siza mpooo??jamaa yenu kanusulika kua shoganacheka kama mazuri vile...halaf team naila vipi tena?nmataka kumfanya mwenzenu awe team no marinda ndio nini sasa??
...
Ehheehhe si bora hajawa marinda less. Sisi mwanzo mwisho team Siza.
yule mwanamke mwanga kama alianza na hajafanikiwa atarudia tena mjiandae tu...ila mna bahati sasa hivi tungeanza kiwaita team no marinda
