tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,895
- 19,771
Game limekua jino kwa jino wanawake ndio wanasimamia show ya poda,hapo lazma mmoja atapoteza masupplierMda umepita. This is cheating. Ambao hamkuchagua hamkuchagua
Game limekua jino kwa jino wanawake ndio wanasimamia show ya poda,hapo lazma mmoja atapoteza masupplierMda umepita. This is cheating. Ambao hamkuchagua hamkuchagua
Sio mgonjwa karogwa tuMfunge na kuomba sio kwa kuparalyse kule!
Ila I believe mizimu ya Leila inaishi atamsaidia kurikava. Just guessing
Mbona tupo wengi tu tunaomkubali kiainaWe mbona nahisi ni team Godfather wa chini chini. Hahahaaaa! Jitokezeee tu hadharani
Sio mgonjwa karogwa tu
Hahahaa mimi upepo niliusoma toka mwanzo nikajiweka pembeni kwa kuwa upande wa muhaya mmoja anaitwa Mujuni.
Niko emotional Sana. Hapa tayari natetemeka bifu lilipofikia. Ndio maana hata mambo ya kushabikia soka nilishaacha kitambo vinginevyo ningeshatangulia mbele ya haki.
Nimeamua kuwa moderator tu kwenye hili DUDE. Umepotea sana mkuu kidogo tutume kikosi kazi kukutafuta...
Upo kama mimi mkuu kuna story moja ya kina walter ilikuwa inanifanya hadi nakosa usingizi nawaza tu kesho itakuwaje
Ile ya amar na sydney?nilitamani kulia haki ya nani...lara ni kiboko aiseeKuna dude lingine msela alienda kufia Kongo ila design Kama movie litakuja kurudi part 2.
Sijakuona humu tangu huu uzi umeanzaMamii nikitulia lazima nisome hii kitu maana namkubali san lara 1 ktk story.
Sijapata muda mzuri wa kutulia niisome.Sijakuona humu tangu huu uzi umeanza
Kuna dude lingine msela alienda kufia Kongo ila design Kama movie litakuja kurudi part 2.
Ile ya amar na sydney?nilitamani kulia haki ya nani...lara ni kiboko aisee
Yani angelileta part2 yan nataman nijue amar aliishijeHilo dude lilikua hatari. Amar ni habari ingine kabisa lara 1 alituacha design tunaelea kwenye hilo dude.
Mkuu jina limenitoka aiseehHivi ile naitwaje
Inaitwa bad wivesHivi ile naitwaje