Santeeeeeeeeeeeekwa sasa ninaweza kuchagua team bora niwe team leila kwani mchuano siyo wa kitoto afe kipa au afe beki.
Aaah nishapita kitambo mpenzi. Me team Naila kwa kweli, itafahamika tu haha, utashangaa vicky ndo anawin mwishoni haga
Mpira dakika 90 mkuu relaxxxxxxmahondaw naona unafurah mwenyewe hapo aseee [emoji19] [emoji19] team Siza tuna ushindi wetu.
Ahaa Uwe unanitonya mamyAaah nishapita kitambo mpenzi. Me team Naila kwa kweli, itafahamika tu haha, utashangaa vicky ndo anawin mwishoni haga
Poa poa ntakushtuliagaAhaa Uwe unanitonya mamy
Viki kafulia haha ni kujuta tu
Mi team Leila tuuu sihami team
Officially a dying hard fun wa Leila si kwa kubadilika huko na kuwa a wife
Vick alipo anajuta kujibebisha kwa Mangi.,.. I guess Mangi hawazi kingine zaid ya chipsi zake [emoji12] [emoji12]Ahaa Uwe unanitonya mamy
Viki kafulia haha ni kujuta tu
Poa poa ntakushtuliaga
Sasa utashangaa vicky ndo anaibuka kidedea
Tehteh mangi kafuliaaVick alipo anajuta kujibebisha kwa Mangi.,.. I guess Mangi hawazi kingine zaid ya chipsi zake [emoji12] [emoji12]
Lara tulikuwa tunaangalia upepo kwanza, now I can see the better ending I guess kwa upande wa Leila.Mda umepita. This is cheating. Ambao hamkuchagua hamkuchagua
Lara tulikuwa tunaangalia upepo kwanza, now I can see the better ending I guess kwa upande wa Leila.