Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Weeeeeeh shogaa lara hatabiriki huyu kwa kubadilisha gia angani hana mpinzani
Mpira dakika 90 tuombe Mungu

Mwisho unaeza kuwa mchungu kuliko uchungu wenyewe
Sisi wazalendo tumechagua timu kitamboo , watu wanahamia kwa leila sa hivi hawamjui Lara alivyo mfitini zaidi ya TFF, the fact is Leila was a little miss street hustler since day one, basi tutaenda nae popote!
 
Mkuu wenye jina lao wakikuona utakula Ban ya kutokusikiliza mpira for a whole season na vimillion kumi vya faini
Sisi wazalendo tumechagua timu kitamboo , watu wanahamia kwa leila sa hivi hawamjui Lara alivyo mfitini zaidi ya TFF, the fact is Leila was a little miss street hustler since day one, basi tutaenda nae popote!
 
Sisi wazalendo tumechagua timu kitamboo , watu wanahamia kwa leila sa hivi hawamjui Lara alivyo mfitini zaidi ya TFF, the fact is Leila was a little miss street hustler since day one, basi tutaenda nae popote!
Pamoja sana.. Nina wasiwasi na lara huyu hachelewi kutupiga midole watu wazima na timu zetu
 
Asante lara 1 ,that's ol I can say,,nashindwa kuchagua team!!kadiri muda unaenda nitachagua aki.
 
Sio kwamba tunamajibu yetu mfukoni ila hii game tunaona Siza ndo Majesty . sarakasi zako hapana mama kubwa
 
Naomba kuhama, kuanzia sasa mimi Team Leila, nimehama team Siza.

Nini sasa, Siza sio mama yangu wala baba yangu kwa hiyo No mapovu tafadhali.

Team Leila, bad beach, kubwa la maadui, zee la kufufua mipango iliyokufa, ni noma.
 
Naomba kuhama, kuanzia sasa mimi Team Leila, nimehama team Siza.

Nini sasa, Siza sio mama yangu wala baba yangu kwa hiyo No mapovu tafadhali.

Team Leila, bad beach, kubwa la maadui, zee la kufufua mipango iliyokufa, ni noma.

Khakha weeuuweee watu washaanza hukuu uuwii
Asante sana mkuu karibu timunii
Karibu Wee ingia tu na viatu usivue
Tupambane na Sizaa
 
Hapa hupaswi kuchagua timu aisee, mtaani panaenda kuchafuka. Sasa ni ubabe ubabe na watauana Sana katika business. Hii story sijui niliiona katika movie gani ama kuisoma kitabu gani miaka kama 20 ilopita. Ngoja nifukunyue maktaba yangu nitarudi. Hapa ni mpambano unakuja si Siza na Godfather bali ni Naila na Leila. Leila mzoefu street na umjinimjini mwingi, huku Naila ni mchora ramani mzuri na nyota yake inawaka kwenye business balaaa ila anaharibu kuchanganya na waganga.
 
Naaaam! Kwa wale wazoefu wa movie za kutafsiri toka tupo vidudu naona picha limefikia Intamisheni.... Steven Robert Masatu chagua team baba acha longolongo
Mkuu me najijua, napenda Sana stories za namna hii na movies za namna hii. Sasa nikishachagua upande then upande wangu ukadondoshwa nitaumia sana. Mpaka story iishe sijui nitakuwa wapi siku hiyo, na timu yangu ikidondoshwa siku nzima itavurugika. Unajua story kama hizi ili zinoge jivishe uhalisia, nakwambia utapata pressure. Ngoja niwe msomaji mkuu.
 
Mkuu me najijua, napenda Sana stories za namna hii na movies za namna hii. Sasa nikishachagua upande then upande wangu ukadondoshwa nitaumia sana. Mpaka story iishe sijui nitakuwa wapi siku hiyo, na timu yangu ikidondoshwa siku nzima itavurugika. Unajua story kama hizi ili zinoge jivishe uhalisia, nakwambia utapata pressure. Ngoja niwe msomaji mkuu.


Hahahaa mimi upepo niliusoma toka mwanzo nikajiweka pembeni kwa kuwa upande wa muhaya mmoja anaitwa Mujuni.
Niko emotional Sana. Hapa tayari natetemeka bifu lilipofikia. Ndio maana hata mambo ya kushabikia soka nilishaacha kitambo vinginevyo ningeshatangulia mbele ya haki.

Nimeamua kuwa moderator tu kwenye hili DUDE. Umepotea sana mkuu kidogo tutume kikosi kazi kukutafuta...
 
Hahahaa mimi upepo niliusoma toka mwanzo nikajiweka pembeni kwa kuwa upande wa muhaya mmoja anaitwa Mujuni.
Niko emotional Sana. Hapa tayari natetemeka bifu lilipofikia. Ndio maana hata mambo ya kushabikia soka nilishaacha kitambo vinginevyo ningeshatangulia mbele ya haki.

Nimeamua kuwa moderator tu kwenye hili DUDE. Umepotea sana mkuu kidogo tutume kikosi kazi kukutafuta...
Ila ukiangalia trend nzima ya story, Siza yupo katika wakati mzuri sana kutokana na yupo kwenye hiyo gemu muda mrefu sana, na ana experience ya kuanzia katika upunda, ogopa sana mtu aliyeanza na kitu from the scratch then akawa Don, huku anayo backup ya mbishi na mwenye nyota ya biashara Naila, kingine kitachomuweka vizuri ni kuhusu damu yake kwa Leila, Siza yupo katika good position ya to reconcile na Leila kwa kisingizio cha mtoto. Leila yeye anataka pesa na Maisha mazuri ambayo Siza anaweza kumpa vyema tuu.



Mkuu nipo jalalani, tunaandaa kupokea members wapya Sasa tunapitia upya vigezo na mashariti ili kukidhi mabadiliko ya hii Dunia. Ila naibuka soon, wasalimie wadau.
 
Back
Top Bottom