Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Nikawa naumwa tumbooo, naumwaaa tumbo nikaenda hospital, nikaambiwa nina mimba ya miezi mi 2 na week kadhaaa. Afu ina matatizo matatizo sanaaa, nikapewa bed rest.

Ahsante sana lara 1 tumeshajua mimba ya nani. Ila ujue tu kwa hizi xxxx jana umenipoteza muumini wako, I didn't stand the test of time.
 
Sasa wewe naona unataka kubadili injini ya ndege angani na sio gia tena...inamaana usemi wa Shunie hawara hatalikiwi umehusika?

Hahahaaaa! Jamani nimewakumbusha tu ndugu wasomaji kwanini hamjiongeziiii! Naona mnajitahidi kusoma mara 10 ila hamuelewiiii! Jomoniiiii!
Na tabia zenu za kutabiriii tabiriii mtakuja kujikuta mnasomea chooni story kwa kubanwa tumbo la kuharisha
 
Eti! Wewe uwe dada wa TWH, sitaki tena hiyo nafasi...afadhali Shunie awe dada kuliko wewe, tena uwekwe mwanzoni mwanzoni kabla TWH hajachoka kupiga full picture!
Hahahaaaaa!!! Ndio position nilopewa sasa kwenye story na story ishaandikwa haibadiliki!!! Mie dada yako, anza kwanza kuniamkia.
 
Back
Top Bottom