Weekend Story! Glory Be To God!

Nipo Mama Yeyoooo, napambana hatari..kufugwa nako kipaji. Wengine makabila yetu kufugwa mwikooo hata kama hauna mia, bora ufe kiume. Si umeona watu wanauliza hadi kabila la MOTP wakati tulishamsahau kitambo? Wahenga wameamua kufukua makaburi
hahaha eti ni bora ufe kiume ndio inavyotakiwa lakini ila kila mtu na kipaji chake aisee
 
hahaha eti ni bora ufe kiume ndio inavyotakiwa lakini ila kila mtu na kipaji chake aisee

Si unaona kama wewe umeukataa ubuyu wa babu Issa ukajua una strings attached, ule ubuyu tu, hakuna chochote cha ziada....
 

Similar Discussions

29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom