Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Hahaaaaa sawa baba wewe endelea kuzisaka ,tena sie tutafungua hadi garage ili watoto wajue kushika spana mapema[emoji23][emoji23]

sent from paradise
Ahahaha nimecheka sana "wajue kushika spana" una mawazo makubwa.
 
Yaani balaa juu tabalaa. Nimecheka tu huyo mbondei mwenye mipango alafu haitekelezeki, kuna watu ukiwasikiliza unaweza hisi after one year watakuwa bakhresa. Kumbe mipango sio matumizi.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kweli mipango sio matumizi
 
Back
Top Bottom