The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,255
- 42,875
Hizo Bwana asifiwe ziwe zinatoka moyoni kweli, sio za zima moto huku nafsi bado ziko duniani.
Sasa kwa hii story ya lara 1 unaona kuna upendwa hapo? Lakini kila kitu ni hatua, hata shule tunaanza vidudu kisha taratibu msingi, sekondari kisha chuo. Mbona mnataka Kubwa la maadui abadilike ghafla usiku mmoja tu? Wokovu ni process