Weekend Story! Glory Be To God!

Hizo Bwana asifiwe ziwe zinatoka moyoni kweli, sio za zima moto huku nafsi bado ziko duniani.

Sasa kwa hii story ya lara 1 unaona kuna upendwa hapo? Lakini kila kitu ni hatua, hata shule tunaanza vidudu kisha taratibu msingi, sekondari kisha chuo. Mbona mnataka Kubwa la maadui abadilike ghafla usiku mmoja tu? Wokovu ni process
 
Sasa kwa hii story ya lara 1 unaona kuna upendwa hapo? Lakini kila kitu ni hatua, hata shule tunaanza vidudu kisha taratibu msingi, sekondari kisha chuo. Mbona mnataka Kubwa la maadui abadilike ghafla usiku mmoja tu? Wokovu ni process
Kubwa la maadui mi sitaki aokoke kabisa maana hizi raha tutazimiss sana. Nilipoona analeta story ya kipendwa nikawa nishasusa. Aaah Mungu mkubwa kaleta kitu chenyewe.
MOTP ye aokoke tu maana hamna namna, Lasivyo tezi dume iambatane nae.
 
Kwa mwanamke dyu dyu is not everything.

It is the only thing!

Kwahiyo al-shabab yuko on the right track. Soon kiuno chake kitamjengea ghorofa!

- KANA -
Thubutuuuuuu!! Sema kwa mrs msomali.
Na hata yeye huoni kuolewa nae kagoma? Hataki kuolewa nae maana anajua msingi kiuno sio kitu pekee anachohitaji.
 
Wameanza kujitetea. Acha wafungwe wafunguke akili.
tena mfugaji awe lidya wataomba poo mwanamke anajua kunyanyasa yule ila anamfungua akili mumewe...hawa wengine team free p tu hawana chochote cha kutoa kazi kuringia dyudyu zao
 
tena mfugaji awe lidya wataomba poo mwanamke anajua kunyanyasa yule ila anamfungua akili mumewe...hawa wengine team free p tu hawana chochote cha kutoa kazi kuringia dyudyu zao
Msingi kiuno ni kujitoa ufahamu tu, hauwezi kuwa comfortable kwakweli.
 
Back
Top Bottom