Weekend Story! Glory Be To God!

lara 1 mama, hii ndio ya kipendwa? Dah! Umeliamsha dude, you remind me those days, am tempted going back to my roots....sasa sijui nani ataniombea tena. Ila ahsante kwa executive Business Class unayotupatia kwenye huu ubuyu.
Kurudi nyuma marufuku. Baki na Mercy. Ukirudi nyuma utatuponza.
 
Ndio maana nashangaa, inakuaje msomali hana pesa na anauwezo wa kusimamia mechi? Nikiwa sina pesa au mambo hayajakaa sawa siwezi chochote.
Marioo wanajua msingi wao ni kiuno tu baaasi. Hivyo wanajitoa ufahamu tu. Atafanyaje sasa, anapambana na hali yake tu!!!
 
Back
Top Bottom