Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Pastor ana mambo ya kifilipino jamank lol, so sweet. Nimesmile huku huhuhu
Iv ujistukiiUandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
au sijui nikufananishe na jeche jeche yaani umenichefua au we Tito nnMi nmesoma hkuna hata sehem iliyonichosha au kunichangana, we pengne dishi lako umegeuzia vikumburu...!Uandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
How to follow???Sijajua kwakweli! Napumzika kidogo nitarudi tena. Naweza kurudi na Part 2 au na story ingine. Kupata update NIFOLLOW humu jf siku nikipost itakupa alert picha limeanza.
Poye mwayaa.....ukimaliza hiyo dozi kuja kwangu nikupe dawa orijino hao wamasai wa mjini sina uhakika km wanakupatia zile zenyewe kbsHahahahaaaaaaaaaa! Hilo la kunenepeana nalo neno, nimekula sahani ya pilau nzimaaa, na soda! Mange anangenifuma kunipa hesabu ya calories mbona ningedataaaaa. Inabidi tu ninywe dawa za kimasai diet yataka nidhamu na mimi sinaaa.
.......hahaaaaaaaaa....................hatari sana hiiHahaha kuvizia huko vepeee si aliamua kuondoka km mbwai iwe mbwai tu kakosea kurudi mwanamke unatakiwa uwe na maamuzi magumu na mipango thabiti km wataka pindua nchi
Nashukuru kwa mrejesho wako. Nitajitahidi kukuridhisha siku ingine.
Kuna Party 2 yake ndo ndeefu kuliko part 1. Tujipimzishe kwanza afu kuna mistori kibaoooo pending. Maybe just maybe Mungua akipenda tutaiona part 2.
Mungu akuwezeshe!
Pita kushoto....hujalazimishwa humu..huajitwa..hujalipia...hujaombwa kucomment....mwone ndio mana.umeazima laptop ili ulog in...chaaaaaaaaa sepaaaaaaaUandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
Tito huyo achana naye !Pita kushoto....hujalazimishwa humu..huajitwa..hujalipia...hujaombwa kucomment....mwone ndio mana.umeazima laptop ili ulog in...chaaaaaaaaa sepaaaaaaa
Chaaàaaaaaa ww kumbe tito yumo humu humuTito huyo achana naye !
Tangu nianze soma story za lara 1 naona we ndo umekerekwa kuna watu zaid ya laki wanasoma na weng wanacomment vyema kuwa unatufurahisha , hatulali wenzio na alam tunaweka kwa uandish wake huu huu, kama unakukera weye tu pitaUandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
sio lazima usome jf kuna majukwaa meng sana ,

Watu wengine hawajielew dada kama misukule utadhan kaitwa humu atuachie lara wetu ,serious???
KaTafuta kiki kapata alerts zake zimemfurahsha mwenyewTangu nianze soma story za lara 1 naona we ndo umekerekwa kuna watu zaid ya laki wanasoma na weng wanacomment vyema kuwa unatufurahisha , hatulali wenzio na alam tunaweka kwa uandish wake huu huu, kama unakukera weye tu pita![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sio lazima usome jf kuna majukwaa meng sana ,
At least ungetuandikia hiyo yako ambayo sio uharo wa bata tuisome ili tuone ila we ndo naona hapa unachefua na uharo wako tuachie lara 1 wetu halipwi ni free kiburudisho so tulio wake tunaenjoy, usirud humu hujaitwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na amezipata haswa kuna mijitu inaboa kwel, kama kalazimishwa kusomaK
KaTafuta kiki kapata alerts zake zimemfurahsha mwenyew
wivu tu hawana lolote, ye mwenyewe kashindwa kuandika kuja kucomment mautumbo tu hapaHivi bangi hazijaruhusiwa... zikiruhusiwa sijui mtafanya nnEnd Justify the Means...
What an awesome piece of art...
State of the art fare tale!