Dahhh V nimefurah mno....thax alot lara kwa stiry dah sidhan kama kuna mtu ali expect kam pasta atarudi ....jana niliumia sana baada ya kufaniwa na ile sms dahhh...itabid nirudie kusoma mana nilikuwa naruka ruka walau nione kama V atapata hitaj la moyo wakeLast thing you lose is hope, once hope is lost everything is lost
Kuna Party 2 yake ndo ndeefu kuliko part 1. Tujipimzishe kwanza afu kuna mistori kibaoooo pending. Maybe just maybe Mungua akipenda tutaiona part 2.
waoh.....am out of words Lara1
Kuna Party 2 yake ndo ndeefu kuliko part 1. Tujipimzishe kwanza afu kuna mistori kibaoooo pending. Maybe just maybe Mungua akipenda tutaiona part 2.
Lara aliresign haraka ....na alikuwa frustrated kwa kumkosea pastor hata angemwona t wala asingemfanya lolote ....Thanks lara, good story. sema jamaa yangu T, sijajua mwisho wake, nilitegemea Viola ampe maneno yake. Thanks again. ila na ile story ya kina mudy ukipata muda uimalizie.