Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Daaaah yaan story ikiisha najiskiaga lonely vbaya mnooo! Thanks Lara1
 
Dia lara ubarikiwe sana kwa hadithi hii tamu umenifanya mpaka imebidi tu niwe member ili niipate kiutamuu kabisa..hongera sana kwa kipaji chako nataman niwe mdogo wako ss tukae wote niwe nakusumbua unisimulie
Asante sana jaman
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Weekend Story Loading saa 2 usiku. SI YA KUKOSA. (Kumradhi sitomalizia ile story ua get rich or die trying sababu kipya hakinyemi ibgawa ni kidonda, nimepata hiki kitu kipya cha moto moto.

On the mean time kuna get togher imeandaliwa na wadau wa jf. Nimeombwa kufikisha ujumbe.

Botellón – Get Together ya wana JF Tarehe 30 April 2016

‘Botellón’ is a group of people who meet in a public area to socialize and consume alcohol. The people buy the alcohol from local stores as a cheap alternative to an expensive night out. The phrases literally means “big bottle,” in Spanish Language.

Naandaa hiyo program one weekend baada ya Pasaka kwa wakazi wa Dar. Arrangement is very simple nunua vinywaji vyako na kama utaamua kuwa na vya ziada kisha tunakutana katika eneo la kati ya majengo ya Coco Beach na eneo panapouzwa Mihogo kuna sehemu pale imetulia na hapo tunakunywa na ku mingle mpaka night kali.

Idea ni kind of get together na networking, uko wapi unafanya nini mambo ya michongo kufahamiana na kupeana fursa ndiyo theme ya Botellon yetu.

Tarehe ya tukio hili ni siku ya Jumamosi 30 April 2016 kuanzia saa kumi kamili na kuendelea.

Mchango unaotakiwa ni kiasi cha elfu ishirini kwa kichwa kwa ajili ya kununua mishkaki na ndizi mzuzu ambazo zitasindikiza shughuli yetu.

Kutakuwa na meza maalum ambapo atakuwepo mtaalamu wa kutengeneza cocktail mbalimbali kama vile Sex in the Beach, Manhattan, Margarita, Caiprinha, NKCocktail zote zitatengenezwa bure.

Pia kutakuwa na activities mbalimbali zitakazosindikikiza siku hiyo ambazo zitakuwa useful kwa maisha yetu ya kawaida kind of utambuzi, games na mashindano ambapo zawadi mbalimbali zitatolewa na zawadi kubwa ni voucher ya Dinner for two kwenye Hoteli ya Nyota Tano.

Michango itumwe kwa namba hizi kabla ya tarehe 20 April 2015 ili kufanikisha maandalizi ya ya Botellon yetu.

Michango itumwe kwa namba hizi

+255715729292

+255752729292

+255689378895

Namba zote zitasoma Shaban Kaluse.
Uandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
 
Uandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
Mkuu, kitabu usichokielewa ujue hujaandikiwa wewe.
 
Uandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
serious???
 
Uandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
Huwezi kukosa watu wa aina hii katika jamii,ambao kazi yao ni kupinga tu.
 
Uandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
sawa Tito
 
Uandishi wako mama unachosha sana ukiamua kuandika kwa moja andika hivyo na si kuchanganyachangany utafikiri wote wanpendelea, sipendi uandishi wa namna yako halafu stori nyingi ambazo unaandika zinakuwa hazieleweki, ni kama bata anakanyaga matope na maji mazito ya chooni, badilika au kajifunze upya namna ya uandishi mzuri ili uwasilishe ujumbe wako kwa walengwa bila kuwachosha wasomaji.
Nashukuru kwa mrejesho wako. Nitajitahidi kukuridhisha siku ingine.
 
Sijajua kwakweli! Napumzika kidogo nitarudi tena. Naweza kurudi na Part 2 au na story ingine. Kupata update NIFOLLOW humu jf siku nikipost itakupa alert picha limeanza.

Pls nielekeze jinsi yaku follow
 
Umebadilika....few months ago jibu lako hapa lingekuwa tofauti.

Thought only I had noticed.

Ila few months ago there were too many and too hostile of such comments kwahiyo self defense ni muhimu. And those were personal attacks. At least these are opinions based on the writing.
 
Back
Top Bottom