Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Huyu kijana wa pili kutoka kushoto anaitwa Mike Mushi ndiye mratibu wa tovuti ya www.kikweteshein.com, ni tovuti yake binafsi lakini tushangae kwanini atumie nyaraka nyeti za serikali kiasi hiki? Usalama wa taifa mpo???? Ama mnadhani raia hatujui kitu kuhusu hilo??????

Mike Mushi.jpg
 
Huyu kijana wa pili kutoka kushoto anaitwa Mike Mushi ndiye mratibu wa tovuti ya www.kikweteshein.com, ni tovuti yake binafsi lakini tushangae kwanini atumie nyaraka nyeti za serikali kiasi hiki? Usalama wa taifa mpo???? Ama mnadhani raia hatujui kitu kuhusu hilo??????

View attachment 1297

dont worry

ninahitaji kumpata bwana SALVA na kama hataki kujitokeza humu basi mimi nitamfuata bosi wake direct na asijelalamika kuwa ninamchonganisha
 
Huu ni mwezi wa NNE na nimeona itabidi niwe nawapa MONTHLY updates ya website ya IKULU

SO FAR salva ANAZIDI KUNENEPA TU, IKULU haina website na solution ya kukabiliana na flow of info wameamua kutangaza nafasi za kazi


in short they are looking for spin doctors..ili kukabiliana na JF

NITAWAPA update nyingine mwezi ujao
 
Huu ni mwezi wa NNE na nimeona itabidi niwe nawapa MONTHLY updates ya website ya IKULU

SO FAR salva ANAZIDI KUNENEPA TU, IKULU haina website na solution ya kukabiliana na flow of info wameamua kutangaza nafasi za kazi


in short they are looking for spin doctors..ili kukabiliana na JF

NITAWAPA update nyingine mwezi ujao

Hawana nia ya kuwa wawazi ndio maana wanaubavu tu wa kupost kwenye JF lakini kuunda web kwa manufaa ya umma inakuwa kasheshe.
 
Huu ni mwezi wa NNE na nimeona itabidi niwe nawapa MONTHLY updates ya website ya IKULU
Habari zisizo rasmi ni kwamba jamaa wa UDSM walishinda 'bid' ya kutengeneza hiyo website lakini haijakickoff kutokana na masuala machache kuhakikisha website inakuwa makini! Any update?!
 
Habari zisizo rasmi ni kwamba jamaa wa UDSM walishinda 'bid' ya kutengeneza hiyo website lakini haijakickoff kutokana na masuala machache kuhakikisha website inakuwa makini! Any update?!

Hayo jamaa wa UCC??naamini hii haitakuwa na Rushwa ndani yake coz hawa jamaa hawana sera ya !0%.na mzee John Shaban isije ikawa spinning ..tutafuatilia kujua wh design it coz najua touch za UCC ziko vipi coz people who have been there still wako hapo hapo na hawana jipya for some years now.thy always do customization fo what tey have done.
 
Habari zisizo rasmi ni kwamba tovuti ya Ikulu haitakarabatiwa, badala yake, itazinduliwa (sijui lini) tovuti ya JK. Lakini tatizo ni kwamba, kutokana na kuwapo kwa matatizo mengi yanayosababishwa na ufisadi (kuanzia Richmond hadi EPA hadi Chenge na kwingineko), sidhani kama JK atakuwa na ubavu wa kuizindua tovuti yake hiyo.

Yeye ameanisha malengo yake, sera zake, itikadi yake na ya chama chake. Sasa, kila kinachotokea kwenye serikali yake kinakwenda kinyume na itikadi, sera, maoni, visheni, na kadhalika. Ana raha gani kiasi hicho mpaka atangaze mipango yake wakati tayari jahazi linazama, sasa ni suala la kuondoa maji ili lisizame haraka, kwani kasi ya maji kuingia kwenye jahazi imekuwa kubwa. Kila anapofanikiwa kuchota maji yanayoingia kwa kasi kubwa kwenye jahazi lake, na kuziba matundu yanayoingiza maji hayo, akigeuka anakutana na matundu mengine makubwa zaidi, ambayo yanaingiza maji kwa kasi kubwa zaidi. Sasa watu wanabaki kumshangaa... ni nahodha gani huyo ambaye anashindwa kukiongoza chombo chake, kwani inaonekana mabaharia wake wote hawana uwezo wa kumsaidia kukiongoza, kwani wao hawajafuzu ubaharia.

Hiyo meli ya JK sijui itafika lini? Ndege ya nahodha msaidizi wake, EL, tayari ilianguka na kuungua.

Mwenye ramani ya wapi itakapoishia hii meli atuambie. Tuna hamu ya kujua kama itazama au itaingia bandarini salama.

./Mwana wa Haki
 
Nimeshasema Salva anavijua vitu vingi na ni mjanja anakubali changamoto hata tukibisha,Kikwete kumpa nafasi hiyo si mchezo
 
Habari zisizo rasmi ni kwamba tovuti ya Ikulu haitakarabatiwa, badala yake, itazinduliwa (sijui lini) tovuti ya JK.
Tovuti ya JK?! Akiingia Rais mwingine 2010 naye atengeneza tovuti yake?!

Hata kama ilikuwa nia/wazo tayari ni ufisadi, haihitaji upembuzi yakinifu!!
 
wakiwa na website mtawabughudhi kwa maoni ya maana na wao hawayahitaji
 
Kuna web site inaitwa wananchi.go.tz, web site hii in picha kuubwa ya mheshimiwa mkubwa kabisa lakini pale hamna kitu, kwa sasa mimi nimeacha kabisa kuitembelea kwani ukiandika hoja miezi mitatu wanakujibu tutashughulikia hoja yako ila ukiwasifia majibu unayapata baada ya dakika 3. Kwa kweli serikali inabidii iige mfano wa JF
 
Leo ni 1st of MAY na nimeona bora niwaupdate kuhusu kazi nzuri anayofanya SALVA RWEYEMAMU kule ikulu. Hivi huyu mtu ana wazimu? Kulikuwa na umuhimu gani kuwaita waandishi wa habari ikulu ili awaambie kuhusus safari ya JK?

Vitu kama hivi vilitakiwa viwe posted online kwenye website ya IKULU lakini naona hii ishakuwa ni ngumu na haiwezekani tena

That said, next month tena nitarudi kuwapa UPDATE kama kuna mtu ana jipya naweza kupost humu


 
Leo ni 1st of Janauary na nimeona bora niwaupdate kuhusu kazi nzuri anayofanya SALVA RWEYEMAMU kule ikulu. Hivi huyu mtu ana wazimu? Kulikuwa na umuhimu gani kuwaita waandishi wa habari ikulu ili awaambie kuhusus safari ya JK?

Vitu kama hivi vilitakiwa viwe posted online kwenye website ya IKULU lakini naona hii ishakuwa ni ngumu na haiwezekani tena

That said, next month tena nitarudi kuwapa UPDATE kama kuna mtu ana jipya naweza kupost humu



ulitaka kuandika kuwa leo ni first of may?
 
Duh! wazeee kweli hapo nimekosea ni 1st of MAY hata sijui kwa nini nafikiri leo ni first of Jan

ANYWAY HOJA IKO PALE PALE SALVA HAS TO GO
 
Back
Top Bottom