We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

wewe ni traditional au modern wife?

ila katika suala lakumtunza mume ni binafsi sina uo umodern au utraditional.babu dc wacha zako mwanaume mwenye adabu na heshima lazima apewe haki yake.my husband is very very bussy ,hata mimi nafanya kazi very busy lakini haihusu playing my part as a good wife.wacha tu niwe local lakin najua ninachokifanya.
 
Kwa nini Dina,

Nashangaa watu hawataki kutoa maelezo ili sie tunaofanya makosa tujirekebishe...!

Kesi ya mke kumwachia HG atandike kitanda kwangu siyo kesi na huyo mwanamume ningemshangaa sana...

Babu DC!!

Inawezekana ni 'makuzi' yangu binafsi, manake tulikolelewa sie hatukuwa tukikatiza room ya wazee no matter what. Nakumbuka nilichukuliwa kwenda kulelewa sehemu nyingine ambayo watoto niliowakuta walikuwa wakienda room kwa wazazi wao mara tu wakiamka, mpaka utasikia wanafukuzwa ili wazazi wajiandae kwenda vibaruani. Mie macho yalikuwa yananitoka nisiamini ninachokiona, na bado nilishindwa kujumuika nao kwenye hizo safari za alfajiri, nikajitafutia tu shughuli ya kufanya.

Ninaamini pia chumba changu ni privacy yangu na baba chanja, sembuse hicho kitanda! Mie nikishindwa kusafisha au kutandika kwa jinsi yoyote ile, niko radhi niache kulivyo, nifunge na funguo mpaka nitakaporudi.
 
huko kwenye vyumba huwa mnaficha nini?

Mie sioni kitu ambacho kitanifanya niogope sana hg kuingia?

sio kutandikiwa kitanda tu,chumba chako na mumeo ni kama pepo yenu!!!sasa mfano ndo hg ameingia chumbani ghafla amenikuta mtupu coz si ni sehemu yangu ya kujiachia?heshima itabaki hapo?hiyo ni aibu kwa mwanamke wa kiafrika,uwajibikaji wako unaanzia ndani kwako na kama pamekushinda huna hata hadhi ya kuitwa mke!!!we mzugaji tuuu
 
ila katika suala lakumtunza mume ni binafsi sina uo umodern au utraditional.babu dc wacha zako mwanaume mwenye adabu na heshima lazima apewe haki yake.my husband is very very bussy ,hata mimi nafanya kazi very busy lakini haihusu playing my part as a good wife.wacha tu niwe local lakin najua ninachokifanya.


Huu uzi inazidi kunifungua macho......

Ngoja niendelee kuwasoma wadau...

Hivi tunasimama wapi?

Mama huyo anafanya kazi kama mume, nyumba ina wasaidizi ila tunachagua kazi zao wao kufanya??

Nahitaji elimu zaidi kuhusu haya mambo....bila kujali uzee wangu??

Babu DC!!
 
Inawezekana ni 'makuzi' yangu binafsi, manake tulikolelewa sie hatukuwa tukikatiza room ya wazee no matter what. Nakumbuka nilichukuliwa kwenda kulelewa sehemu nyingine ambayo watoto niliowakuta walikuwa wakienda room kwa wazazi wao mara tu wakiamka, mpaka utasikia wanafukuzwa ili wazazi wajiandae kwenda vibaruani. Mie macho yalikuwa yananitoka nisiamini ninachokiona, na bado nilishindwa kujumuika nao kwenye hizo safari za alfajiri, nikajitafutia tu shughuli ya kufanya.

Ninaamini pia chumba changu ni privacy yangu na baba chanja, sembuse hicho kitanda! Mie nikishindwa kusafisha au kutandika kwa jinsi yoyote ile, niko radhi niache kulivyo, nifunge na funguo mpaka nitakaporudi.

Ni makuzi sawa Dina,

But logically, does it make sense??

Especially tukiwaza kama generation ya digitali...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Sio hgelo peke yake, hata twin wangu staki aingie. Sacred place. (unaweza kuona kawaida afu ukajikuta hata kidumu unaingiza huko. Mie kidumu tunakutana sychelles! Nala nguruwe alienona ananibakisha udhu kiduchu)
huko kwenye vyumba huwa mnaficha nini?

Mie sioni kitu ambacho kitanifanya niogope sana hg kuingia?
 
Na hilo ndio tatizo la watu wanaooa ili wafuliwe, wapikiwe na watandikiwe vitanda!

Ubwanyenye huu utaishia lini...unaoa utegemee mamaa akufulie, tandikie hapo hapo awe mtafutaji, huo kama anamajukumu mawili zaidi.

Mwache atandikiwe bwana....

kumbe mtu akikutandikia kitanda tu, anastahili kupewa haki ya unyumba?

Hotelini je?

Itabidi tutafute 'definition' ya ndoa kwanza

Tatizo lenu mkioa mnajua mmepata housegirl, kama mkeo nae anaenda kazini na anatafuta pesa kama wewe hata kutandika kitandani tandikeni kwa zamu..

Hem muwe mnakaa na mama zetu (ze nu) wawafundishe maadili ya mtazania hasa mwanamke kwa mume.
Mkiachiwa nyiyi mnaweza mkataka wakati wa majamboz mtugeuze mtu.ingizie hata vidole vya mkono ili gemu iwe droo
Rubbish again

We mleta mada umeanzisha ugomvi ambao ni ngumu kuuzima. Ona sasa tunavyonangwa na sisi wengine ambao huwa tunatandika na kufua! Aaaargh!
 
huko kwenye vyumba huwa mnaficha nini?

Mie sioni kitu ambacho kitanifanya niogope sana hg kuingia?


Ewaaaaaaaaaaaaaaaaaa,

Sasa naweza kupumua kidogo....

Hebu endelea kuwaomba hawa wadau watusaidie...

Unless ni superstitious, sioni sababu ya bed room kuwa strictly out of bound kiasi hicho!

Leo mie ni denti, tena njuka!!

Babu DC!!
 
Ni makuzi sawa Dina,

But logically, does it make sense??

Especially tukiwaza kama generation ya digitali...

Babu DC!!

Inategemea unapendelea nini, your culture au digitali, au ndio unataka ku-blend vyote. Kwangu mimi, naanza na culture, then digitali itafuata, nayo tu ni kwa sababu nalazimishwa na utandawazi. Ndio maana nikaweka dada wa kazi, kazi nyingine atasaidia, kwa usimamizi wangu (coz mimi ni muajiriwa), na nyingine nitafanya mwenyewe...
 
waone kwanza hata aibu hamuoni hg anaingiaje vyumbani mwa waume zenu ,,,,,,,majukumu yote ya kiuchumi nyumbani mnataka mtimiziwe na mwanaume , mnachotafuta wenyewe ni chenu ,unyumba mnataka mshughulikiwe kisawasawa kama vile mume ni mbeba zege ,pia shughuli za nyumbani mnataka mnataka mume afanye... ubinafsi ubinafsi huo.
upon my dead body nitafanya kwasababu nimejisikia kufanya na siyo kwasababu wife hajafanya au hg hajafanya.....na hata usipofanya wewe siulizi mimi ,ila majukumu yangu ya msingi nitayatimiza effectively the rest nitajiju mwenyewe lakini siwezi kuhoji.

mkuu basi mimi ninabahati na mke wangu niliyempata, anayafanya yoote tena kwa FURAHA, na kazi anapiga vilevile.
NAMSHUKURU MUNGU!
kama wanawake ndo mawazo yenu haya!?
 
mkuu basi mimi ninabahati na mke wangu niliyempata, anayafanya yoote tena kwa FURAHA, na kazi anapiga vilevile.
NAMSHUKURU MUNGU!
kama wanawake ndo mawazo yenu haya!?

mkuu hiyo siyo Bahati ni wajibu wake/wao......na wanashindwa kuelewa hakuna haki pasipo na wajibu.
 
Mdogo wangu neggirl,

Hebu nambie, huko chumbani kwako kuna kitu gani unachokificha??

Babu DC!!

Huko chumbani kwangu kuna mambo yangu binafsi na ya baba pia (sisi tuuu..... wawili ambao ni mwili mmoja lol) ... ambayo sio lazima watu wayajue na kuyazoea zoea hovyo! Sasa wewe wataka hata nikiangusha pichu yangu huyo binti aje akumbane nayo akuuuuu.
 
mkuu hiyo siyo Bahati ni wajibu wake/wao......na wanashindwa kuelewa hakuna haki pasipo na wajibu.

Mkuu asilimia 90 wanawake wa hapa JF wanasema mwanaume anawajibika kufanya hayo wayatakayo, Kumbe ukipata anayefanya bila kunung'unika ni BAHATI KUBWA SANA! ndo maana wengine wanasaidiwa na HG kila kitu!
 
Ni makuzi sawa Dina,

But logically, does it make sense??

Especially tukiwaza kama generation ya digitali...

Babu DC!!

yes babu DC it make sense , couples bedrooms is there only place that they can get their privacy kwa uhuru.

sasa ukitaka watu waanze kujibana bana kwenye chumba chao eti kisa muda wowote hg anaweza kuingia kuja kutandika au kuchukua nguo chafu ,hapana ....halafu ni sehemu ambayo ndiyo mnatunzia siri zenu na amana zinazokaa hapo nyumbani(kwa kifupi ni ikulu ya nyumbani, otherwise utafuta kajichumba kengine kalichojitenga ambacho matokeo yake waswahili hawachelewi kukusema kuwa unafuga nyoka mkubwa humo)
 
Mkuu asilimia 90 wanawake wa hapa JF wanasema mwanaume anawajibika kufanya hayo wayatakayo, Kumbe ukipata anayefanya bila kunung'unika ni BAHATI KUBWA SANA! ndo maana wengine wanasaidiwa na HG kila kitu!

mkuu hawa hapa jf wanaongea ongea tu na ushindani usiokuwa na maana ila zikija topic mtu anasema amegonga hg (japokuwa siungi mkono huo uchafu na dharau ya kutembea na hg) ila wao ndiyo wa kwanza kuzodoa.
 
Mie babu sioni siri kwa kweli


Hivi siku ukiugua watu hawataja kukuona chumbani? Tena hata member wa familia?

Ewaaaaaaaaaaaaaaaaaa,

Sasa naweza kupumua kidogo....

Hebu endelea kuwaomba hawa wadau watusaidie...

Unless ni superstitious, sioni sababu ya bed room kuwa strictly out of bound kiasi hicho!

Leo mie ni denti, tena njuka!!

Babu DC!!
 
Ewaaaaaaaaaaaaaaaaaa,

Sasa naweza kupumua kidogo....

Hebu endelea kuwaomba hawa wadau watusaidie...

Unless ni superstitious, sioni sababu ya bed room kuwa strictly out of bound kiasi hicho!

Leo mie ni denti, tena njuka!!

Babu DC!!
babu niliona hii mada imeenda sana ila hii post yako imenistua ujue!
mi chumbani kwangu na yule mtu wetu kale katukuu kako ambako ni kabinti sasa hivi kanaingia kufanya nini sasa?unless niwe na shida sijui ya aina gani!sembuse dada!hapana kwa kweli!kama nimechelewa kuondoka nitafunga tu mlango ntakuja kutandika nikirudi!
cha kuonyesha neti langu la malaria haikubaliki a.k.a zinduka la kijani au la blue nini?
ah!hebu acheni masikhara jamani!
mi kwa mzee k ilikuwa mafruku kuingia chumbani kwake na gelofrendi wake!sa mi naanzaje leo kuingiza humo dada,mh!
 
mkuu hawa hapa jf wanaongea ongea tu na ushindani usiokuwa na maana ila zikija topic mtu anasema amegonga hg (japokuwa siungi mkono huo uchafu na dharau ya kutembea na hg) ila wao ndiyo wa kwanza kuzodoa.
wanategemea nini HG anakuja chumbani ananikuta uchi naye anakanga moja!?
Nipo likizo na yeye yupo kazini, nawashauri hawa dada zangu wasiruhusu hata siku moja HG kuingia chumabi kwake!
 
Inategemea unapendelea nini, your culture au digitali, au ndio unataka ku-blend vyote. Kwangu mimi, naanza na culture, then digitali itafuata, nayo tu ni kwa sababu nalazimishwa na utandawazi. Ndio maana nikaweka dada wa kazi, kazi nyingine atasaidia, kwa usimamizi wangu (coz mimi ni muajiriwa), na nyingine nitafanya mwenyewe...
gud gal!lov yu mingi!
 
ila katika suala lakumtunza mume ni binafsi sina uo umodern au utraditional.babu dc wacha zako mwanaume mwenye adabu na heshima lazima apewe haki yake.my husband is very very bussy ,hata mimi nafanya kazi very busy lakini haihusu playing my part as a good wife.wacha tu niwe local lakin najua ninachokifanya.

gud gal!love yu mingi
 
Back
Top Bottom