We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

Duuuu ... Ni bora tulale hapo kwa kitanda bila kutandika till when I get my annual leave kuliko house girl anitandikie.

Na usafi wa rum atafanya pale tu hali yangu ya afya hairuhusu ful stop.

Babu Dark City hope ushatoa mawaidha yako hapa lol .. Hali si hali.


BY THE WAY; hiv husband akija akakuta hg yupo bize kutandika si ndo mwanzo wa kumgawia utamu wangu ..

Ngoja nikatandike mie jua lishazama sasa!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ahsante sana neggirl kwa mwaliko....

Itabidi nitafute muda wa kupitia pitia uzi huu ili niutendee haki....

Kama utakumbuka tulipoishia kwenye ule uzi mwingine....mazingira ya mahali mnapoishi na shughuli zenu zinaathiri ssana aina ya maisha mnayoweza kuishi...

Kwa upande wetu na bibi, ukweli ni kwamba wasaidizi wa ndani (sipendi kuwadharau kwa kutumia baadhi ya majina ya kuwananga) wanatusaidia kazi nyingi ikiwemo usafi wa chumba chetu na kutandika....

Hatuna tatizo na hilo jambo kabisa...By the way, bibi siyo kibarua wa familia, ni partner wa Babu!!

Babu DC!!!
 
Last edited by a moderator:
NASEMA" pamoja na ukurugenzi wa Mama, hg hakuwahi kukanyaga bedroom yao, women wa nowdays hawajitambui tu hamna jingine!


Kwani akikanyaga kwenye hiyo bedroom inatatokea nini ndugu Stamina??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
My bedroom is my private haven. Hata mdogo wangu tunaefuatana hawezi kuingia. Ushosti tunamalizia jikoni na sebuleni hata stoo kwenye kugawana viazi. Strictly no admission, seuze hgal?
Kwani akikanyaga kwenye hiyo bedroom inatatokea nini ndugu Stamina??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nasema sikuungi mkono!! mama yangu alikuwa mkurungezi (BOSS) serikalini, baba nae!! but hg alikuwa haingii chumba chao!!

Hujanisoma vizuri mkuu Stamina, nami pia sitaki kabisa hg aingie chumbani so kwa vyovyote hawezi kunitandikia kitanda. Binafsi sipendi hata kufuliwa nguo zangu na mtu yeyote, ndio iwe za mume wangu! Pia kupika ni hobby yangu. Nimechangia kwa kuzingatia mazingira na hali ya uchumi tu.
 
Last edited by a moderator:
My bedroom is my private haven. Hata mdogo wangu tunaefuatana hawezi kuingia. Ushosti tunamalizia jikoni na sebuleni hata stoo kwenye kugawana viazi. Strictly no admission, seuze hgal?


Hapo ndipi ninaposhangaa na uzee wangu huu....

Kuna nini huko bedroom hadi iwe out of bound kwa kila kiumbe??

Sitaki kuamini kwamba watu wanaogopa multiple users...lol!!

Babu DC!!
 
My bedroom is my private haven. Hata mdogo wangu tunaefuatana hawezi kuingia. Ushosti tunamalizia jikoni na sebuleni hata stoo kwenye kugawana viazi. Strictly no admission, seuze hgal?
King'asti kula like mwana wani yani umenikuna balaa. Kila kitu kina mipaka yake kwa kweli na ndoa na iheshimiwe na watu wote. Chumbani kwangu wataingia wanangu tuuu tena wakiwa wadogo lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
hivi kweli kwa destuli za kiafrika inakubalika wewe na mkeo wote mnaulizia mboga haijakolea chumvi mezani?eti nimeoa napayuka bila aibu we chausiku mbona mboga haina chumvi?mke wangu anapayuka kwa sauti ya juu zaidi yangu we chausiku wewe umechoka kuishi mjini eee?kwa nini mboga haina chumvi?hakiyadadii nafukuza hapohapo!!!![


hivi jmani kuf

anyiwa usafi na hgel bedrum kwako kunajustify kumlala hgrl wako??au mnataka kujificha kwenye kivuli cha mchicha??
 
Nini kitanda mimi shahawa za mume wangu mwanamke mwingine hajafua chumba ninacholala na mume wangu beki tatu ataingia cku nikiumwa rabda hao ndio wale hadi boxer za waume zao zinafuliwa na beki tatu alafu katokea home taaangaa akiivuta uzi huyo mwanaume humuelezi kitu lazima amuoe mke wa pili maana kama hajawa kuku wa kisasa atakua zezeta
 
Mie wala siongelei heshima ya ndoa. Hata nilipomaliza tu chuo na kuanza kujitegemea, maid hajawahi kuingia room kwangu. Hata nikiumwa kama Paw hawezi kutandika kitanda tutalala hivyo na mijusi. Kama vipi tuhamie guest room dada awe anasafisha. Jamani, kama hauna privacy bedroom kwako wapi tena utapata privacy, kaburini?
King'asti kula like mwana wani yani umenikuna balaa. Kila kitu kina mipaka yake kwa kweli na ndoa na iheshimiwe na watu wote. Chumbani kwangu wataingia wanangu tuuu tena wakiwa wadogo lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
King'asti kula like mwana wani yani umenikuna balaa. Kila kitu kina mipaka yake kwa kweli na ndoa na iheshimiwe na watu wote. Chumbani kwangu wataingia wanangu tuuu tena wakiwa wadogo lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mdogo wangu neggirl,

Hebu nambie, huko chumbani kwako kuna kitu gani unachokificha??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nini kitanda mimi shahawa za mume wangu mwanamke mwingine hajafua chumba ninacholala na mume wangu beki tatu ataingia cku nikiumwa rabda hao ndio wale hadi boxer za waume zao zinafuliwa na beki tatu alafu katokea home taaangaa akiivuta uzi huyo mwanaume humuelezi kitu lazima amuoe mke wa pili maana kama hajawa kuku wa kisasa atakua zezeta


Sikujua wanawake wengine mnaishi kwa mashaka kiasi hicho...

Kwani hayo makitu mnayamwaga hovyo chumbani??

Bado nahitaji kuelezwa vizuei ili nielewe...

Babu DC!!
 
kiukweli huyo dada amezidi, na ndio maana hawa beki tatu wanapindua ndoa nyingi kwa mambo hayahaya madogomadogo.
Sitegemei beki tatu anitandikie kitanda ht kuingia chumbani kwangu sitaki kbs.
 
Babu mi sijui kwa nini, ila naona ajabu sana mtu kuingia bedroom kwangu. Kuna siku alikuja cousin sis wangu mmoja, mlango nimerudishia tu. Asubuhi kaita kumbe sikusikia. Akaingia, aisee. Nilijisikia vibaya for the next week. Smartest place in my house ni bedroom yangu, lakini sio kwa ajili ya maonyesho! Hata mamangu mzazi asingeingia bedroom kwangu, i guess.
Kwa mwanaume kucheat hiyo ni problem yaje na wala hasukumwi na kutandikiwa kitanda. Ila mh, mi naona ubaya aisee.
Hapo ndipi ninaposhangaa na uzee wangu huu....

Kuna nini huko bedroom hadi iwe out of bound kwa kila kiumbe??

Sitaki kuamini kwamba watu wanaogopa multiple users...lol!!

Babu DC!!
 
Mie wala siongelei heshima ya ndoa. Hata nilipomaliza tu chuo na kuanza kujitegemea, maid hajawahi kuingia room kwangu. Hata nikiumwa kama Paw hawezi kutandika kitanda tutalala hivyo na mijusi. Kama vipi tuhamie guest room dada awe anasafisha. Jamani, kama hauna privacy bedroom kwako wapi tena utapata privacy, kaburini?


Kwani chumbani kwako umeficha matunguli King'asti??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Babu mi sijui kwa nini, ila naona ajabu sana mtu kuingia bedroom kwangu. Kuna siku alikuja cousin sis wangu mmoja, mlango nimerudishia tu. Asubuhi kaita kumbe sikusikia. Akaingia, aisee. Nilijisikia vibaya for the next week. Smartest place in my house ni bedroom yangu, lakini sio kwa ajili ya maonyesho! Hata mamangu mzazi asingeingia bedroom kwangu, i guess.
Kwa mwanaume kucheat hiyo ni problem yaje na wala hasukumwi na kutandikiwa kitanda. Ila mh, mi naona ubaya aisee.

Kumbe huna sababu ya maana sana bali ni mazoea??

Ndiyo maana kuna watu ambao wanaona kuwa ni jambo la kawaida tu..

Babu DC!!
 
we kibabu DC acha kutetea uozo!! mke ana wajibu wa kumtimizia mumewe mambo yote ya masterbedroom sio Housegirl we wa wap
 
Hahaha. Nadhani ni mazoea na kupenda privacy yangu. Japo toka niko mdogo responsibility ya kutandika kitanda iliniandama kweli kweli. Kufua ungeweza kupata lifti ya dada, ila kitanda? Haikuwahi kutokea.Ajabu ni kuwa niwapo hotelini, naona awkward pia muhudumu hata wa kike kufanya usafi nikiwepo. Kama ni chakula kinapokeleka nitapokea mlangoni (kama sio cha trolley na mbwembwe). So its not just about the maid kiukweli. Na mie siogopi kuwa cheated, manake siogopi maamuzi magumu.
Kumbe huna sababu ya maana sana bali ni mazoea??

Ndiyo maana kuna watu ambao wanaona kuwa ni jambo la kawaida tu..

Babu DC!!
 
hata huo ubabu wenyewe unao utaja ninamashaka nao lol!! huenda ukawa DC bibi!!
 
Babu dc, labda nihitimishe hivii, kulala afu utandikiwe kitanda ni sawa na kuingia chooni ujisaidie, afu aje mtu mwingine kuflush just becoz you can afford it! Na sijui kwa nini hotelini tunatandikiwa, labda ili tusigeuze ama kuchana mashuka?
 
we kibabu DC acha kutetea uozo!! mke ana wajibu wa kumtimizia mumewe mambo yote ya masterbedroom sio Housegirl we wa wap


Wewe Stamina, hebu kuwa na adabu kwa wakubwa zako,

Kama huna hoja, nenda kavute bangi kijiweni...lol!!

Wewe hiyo master bedroom unayo?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom