asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,040
Sawa mwanaume ni mvivu, lakini haitajustfy kumuingiza hausigelo chumbani kwangu aisee. Ever since naanza kujitegemea, sijawahi tandikiwa kitanda na hgelo wala kufanyiwa usafi naye.
heri yako wewe unayetambua limitis zako ,siyo wengine hapa kushabikia hata visivyohitaji ushabiki.