We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

Mjenda Chilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
1,472
Reaction score
527
Yani nyinyi wake zetu mnatia aibu sana, nimetoka kusuluhisha ugomvi kwa jamaa yangu, ugomvi ulikuwa mkubwa sana ila source mshkaji kachoka kutandikiwa kitanda na beki tatu so akamuuliza mkewe kama huyu dada anafua, ananipikia na bado ananitandikia kitanda hv nikwanini namnyima haki yake ya unyumba? mwanamke almanusura apasuke, ugomvi umesuluhishwa ila vipande nimempa, shame on u na wewe kama ni mmoja wao.
 
Je, we MWANAUME inakuwaje utandikiwe kitanda?Kama unapenda kuishi kifalme shurti awepo kibaraka, mkeo nae akikataa kuwa kibaraka wako na kutaka kuishi kimalkia shurti atafute wa kuwa chini yake.

Wewe unavyopenda kubweteka tu na kufanyiwa kila kitu na mkeo ndivyo na yeye anavyopenda vile vile. Hivyo amua wote muwe mnajishughulisha kwa kiasi fulani na shughuli za nyumbani ama wote mtegee. Sio unamhukumu mkeo, kumbe na wewe ni wale wale. Tofauti ni maumbile tu.
 
Je, we MWANAUME inakuwaje utandikiwe kitanda?Kama unapenda kuishi kifalme shurti awepo kibaraka, mkeo nae akikataa kuwa kibaraka wako na kutaka kuishi kimalkia shurti atafute wa kuwa chini yake.

Wewe unavyopenda kubweteka tu na kufanyiwa kila kitu na mkeo ndivyo na yeye anavyopenda vile vile. Hivyo amua wote muwe mnajishughulisha kwa kiasi fulani na shughuli za nyumbani ama wote mtegee. Sio unamhukumu mkeo, kumbe na wewe ni wale wale. Tofauti ni maumbile tu.

rubbish
 
Na hilo ndio tatizo la watu wanaooa ili wafuliwe, wapikiwe na watandikiwe vitanda!

Hem muwe mnakaa na mama zetu (ze nu) wawafundishe maadili ya mtazania hasa mwanamke kwa mume.
Mkiachiwa nyiyi mnaweza mkataka wakati wa majamboz mtugeuze mtu.ingizie hata vidole vya mkono ili gemu iwe droo
Rubbish again
 
Mwanamke sio mfanyakazi wako. Swala la kutandika au hata kazi zingine ndogongogo mnaweza kusaidiana hayo ndio mapenzi.sio kwakua umeoa basi huyo mkeo ndio awe kama kijakazi wako.
 
Kauli za vijana wa enzi hizi ambazo hupelekea kupatikana definition ya aina ya wake wanaowaoa....
1: Nimechoka kupika, kula kwa mama ntilie au mahotelini : Inamaana huyu anaoa mpishi
2: Nimechoshwa na hayamambo ya kufua mwenyewe kila siku/wikiend: anaoa dobi huyu
3: Nyumba/Chumba changu kiko rafu sana kuna haja ya kuoa sasa: Huyu anaoa mke kwa maana ya housegirl wife
4: Rafiki zangu wote wameoa au naona umri umeenda sana, nami ni bora nioe: Huyu anaoa but si kwa definition halisi ya ndoa bali kwa kulazimishwa na mazingira

Ndoa za namna hii nyingi hukumbwa na migogoro endapo lengo la muoaji halijafikiwa..mfano kupikiwa, kufuliwa n.k

NB: Wanawake kuweni makini sana na mjue ni lipi lengo hasa la mwanaume anaetaka kukuoa
 
hii kitu niliiona mapema sana, kati ya vitu ambavyo wife hapendi kuvifanya ni usafi wa room yetu! hii ilianza alipokuwa mjamzito wa mtoto wetu wa kwanza, nilianza kumsaidia taratibu mpaka sasa imekuwa ndo shughuli yangu! Si mbaya lkn asikulazimishe au siku ukimwambia afanye yeye asikatae! Mkielewana na kuheshimiana si mbaya. Imekuwa moja ya mazoezi si mnajua kitambi noma!
 
mm na wife sote tunaenda job na kurudi jion ila nikitaka kusaidia anakataa mpaka nilazimishe coz mama yangu alinifunza all domestic work najisikia hivyo kusaidia ila nimedekedezwa.nafurah kuoa nje wabongo walinishinda wavivu sana.inaumaeee
 
Baadhi ya wanaume wanawaona wake zao kama robbot! kwani ukimsaidia kutandika hicho kitanda utakuwaje?
yani mwanaume anajifanya utadhani ni disable hawezi kumsaidia mkewe hata kazi ndogo kisa tu YEYE NI MWANAUME ptuuuu na uanaume wako huko!!!!!
 
wanandoa wanatakiwa kusaidiana,ila na hawa wanandoa wamekoosa ustaarabu,mambo ya chumbani wanagombania mbele za watu,,,,,,,hawana adabu,,,aibu ni yao wote,na iko palepale,,,,,aiibbuuuu
 
Mwanamke sio mfanyakazi wako. Swala la kutandika au hata kazi zingine ndogongogo mnaweza kusaidiana hayo ndio mapenzi.sio kwakua umeoa basi huyo mkeo ndio awe kama kijakazi wako.

Tatizo lenu mkioa mnajua mmepata housegirl, kama mkeo nae anaenda kazini na anatafuta pesa kama wewe hata kutandika kitandani tandikeni kwa zamu..

Ubwanyenye huu utaishia lini...unaoa utegemee mamaa akufulie, tandikie hapo hapo awe mtafutaji, huo kama anamajukumu mawili zaidi.

Mwache atandikiwe bwana....

Na hilo ndio tatizo la watu wanaooa ili wafuliwe, wapikiwe na watandikiwe vitanda!

Baadhi ya wanaume wanawaona wake zao kama robbot! kwani ukimsaidia kutandika hicho kitanda utakuwaje?
yani mwanaume anajifanya utadhani ni disable hawezi kumsaidia mkewe hata kazi ndogo kisa tu YEYE NI MWANAUME ptuuuu na uanaume wako huko!!!!!

waone kwanza hata aibu hamuoni hg anaingiaje vyumbani mwa waume zenu ,,,,,,,majukumu yote ya kiuchumi nyumbani mnataka mtimiziwe na mwanaume , mnachotafuta wenyewe ni chenu ,unyumba mnataka mshughulikiwe kisawasawa kama vile mume ni mbeba zege ,pia shughuli za nyumbani mnataka mnataka mume afanye... ubinafsi ubinafsi huo.
upon my dead body nitafanya kwasababu nimejisikia kufanya na siyo kwasababu wife hajafanya au hg hajafanya.....na hata usipofanya wewe siulizi mimi ,ila majukumu yangu ya msingi nitayatimiza effectively the rest nitajiju mwenyewe lakini siwezi kuhoji.
 
waone kwanza hata aibu hamuoni hg anaingiaje vyumbani mwa waume zenu ,,,,,,,majukumu yote ya kiuchumi nyumbani mnataka mtimiziwe na mwanaume , mnachotafuta wenyewe ni chenu ,unyumba mnataka mshughulikiwe kisawasawa kama vile mume ni mbeba zege ,pia shughuli za nyumbani mnataka mnataka mume afanye... ubinafsi ubinafsi huo.
upon my dead body nitafanya kwasababu nimejisikia kufanya na siyo kwasababu wife hajafanya au hg hajafanya.....na hata usipofanya wewe siulizi mimi ,ila majukumu yangu ya msingi nitayatimiza effectively the rest nitajiju mwenyewe lakini siwezi kuhoji.

ni wajibu wala sio ombi kumshughulikia mwanamke wako!
hutaki acha njemba zikusaidie!!!
 
Na hilo ndio tatizo la watu wanaooa ili wafuliwe, wapikiwe na watandikiwe vitanda!

hivi kweli kwa destuli za kiafrika inakubalika wewe na mkeo wote mnaulizia mboga haijakolea chumvi mezani?eti nimeoa napayuka bila aibu we chausiku mbona mboga haina chumvi?mke wangu anapayuka kwa sauti ya juu zaidi yangu we chausiku wewe umechoka kuishi mjini eee?kwa nini mboga haina chumvi?hakiyadadii nafukuza hapohapo!!!!
 
ni wajibu wala sio ombi kumshughulikia mwanamke wako!
hutaki acha njemba zikusaidie!!!

i understand ni wajibu na nitautimiza ,ila expecting me to deal with domestic issues ,,,,,hell no! na zisipotimizwa na mwingine i wont ask kwakweli ,siwezi kuwa na huo muda kama mkuu wa kaya( kichwani kwangu kutakuwa na vitu vya muhimu kuliko huo ujinga wa kuangalia kama kitanda kimetandikwa au laa)
 
Back
Top Bottom