We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

Umemind likes lol, hazijawekwa na wadada tu bwana! Nami nimekutupia like! Nikuulize swali; unaoa ili ufuliwe, upigiwe pasi, upikiwe, utandikiwe kitanda, usafishiwe nyumba, etc? Nini hasa kinachokupa msukumo kuoa? What is it that is missing in your single life that you expenct to find in your marriage life?

Swali jingine, je unafikiri kutotandikiwa kitanda tu ni sababu tosha ya kuleta ugomvi ndani ya nyumba ...hadi kuita msuluhishi? Ikiwa mkeo anatoka home saa 12 asubuhi ukiwa hujaamka, anaenda kazini, hutatandika kitanda hata kama umeshinda nyumbani utamsubiri yeye arudi saa moja usiku ndipo atandike? Interesting!

Like nyingi zinawekwa na akina dada ku support POINTLESS kama hii hapa. Majukumu ya mwanamke halisi ni kumsaidia mumewe na si vinginevyo. Wanawake wenye hizo qualities ndo wanafaa kuwa wake za watu kinyume na hapo tunaingia kwenye gender issues.

Kama mwanamke anataka ndoa ambayo yeye hatataka kumsaidia mumewe kutandika kitanda au kumwekea maji ya kuoga halazimishwi kuwa mke wa mtu anaweza tu kujikalia singo akawa na full fledged FREEDOM. Malumbano ya nani kamwonea nani ndani ya ndoa huletwa na ninyi masista do amabo kutokana na kutotumia vema exposure zenu mnajikuta mnaenda extreme na hivyo kutaka kuchakachua maana ya ndoa. Ndoa ni ndoa na gender ni gender na huwezi ku mix mbili hizi bila kuleta migogoro mikubwa kwani ukitaka kkuwa safe au baki kwenye gender au kwenye ndoa ila si vyote kwa pamoja uta mess up.
 
Wewe unaona ubwanyenye kuna wenzako wanafurahia na kama wewe unaona shida potezea kwani wako ambao wako tayari kuzifanya hizo kazi kama expression ya LOVE kwa waume zao na waume wana jinsi ya ku express LOVE kwa wake zao. Kwa sababu MMEKARIRI DEFINITION YA LOVE ndio maana unaona kumtandikia mumewo kitanda ni unyanyasaji .

Jamani mimi naomba definition ya love na kitu gani mume anafanya kama expression ya love kwa mkewe katika domestic setup?
 
Binafsi sijawahi "kutandika" kitanda tangu nilipofunga pingu za maisha...!
Mke wangu akisafiri huwa anakuta mashuka yale yale aliyoyaacha yakiwa bado yapo kitandani, hata na "net" pia iko vile vile...!

Niwie radhi mkuu lakini hapa kuna harufu ya uvivu uliokithiri na uchafu pia.
 
Kati ya kitu ambacho sipendi ni kuchukuliwa kama boss na familiy members. Yes, heshima ya baba inakuwepo, but sio ile iliyojaa uooga, kwamba kila ninachoongea kama kaongea Mungu. Sijawahi kufuliwa chup, isipokuwa siku moja tu, nilijisahau nilipotoka safari nikaziacha chafu kwenye begi, waifu akazikuta akafua. Sikujisikia vizuri sana.

Nimeipenda hii [MENTION]Tuko,[/MENTION] big up. Kiukweli mimi kitu nisichopenda ni kumfulia chup, hilo atafanya mwenyewe tu!

Mimi kwa kweli nitakuwa kinyume kidogo na wenzangu, kwa sababu siku ya kuingia ndani kwako, hasa chumbani unaambiwa hiyo ni sehemu takatifu haitakiwi mtu yoyote kuingia zaidi ya wewe na mumeo tu. Sasa Housegirl haruhusiwi kuingia sehemu hiyo , na kutandika kitanda na kufyagia chumba chako ukiwa kama mwanamke uliyeolewa ukapewa mafunzo huko kwenu ulikotoka.

Ninasema hivi kwa sababu, unajua pale kwenye uwanja wenu wa 6 x 6 ni mahala patakatifu ambapo Mungu alikuruhuru wewe na mumeo kula sakalamenti takatifu . Sasa linapokuja swala la kutandika, kuna mambo mengi kwa kweli wanawake wenzangu mnafahamu unaweza ukawa umesahau kile kitamb--- pale ambapo baba alipomaliza kula ukamf----.sasa house girl akiingia akakuta si niaibu kwako? kwa kweli tuwe waangalifu tusiwakomaze watoto wa wenzetu kabla ya muda

Pia unakaribisha ibilisi wewe mwenyewe, na kumpelekea mumeo aikaribie zinaa. hakuna dharau kubwa kama mumeo atembee na mwanamke mwingine katika kitanda chako cha ndoa.
Tujitahidi kudhibiti mianya midogo midogo kama hiyo.

Nakubaliana nawe kwa mengine, ila sielewi unaposema sijakuelewa kdg; siku unapoingia ndani unaambiwa na nani kuwa chumbani ni sehemu takatifu marufuku kwa wengine kuingia? Yaani kwenye ndoa yako mtu mwingine ndio anakupangia rules of entry! Kama unaweza kusahau kitambaa, lazima wewe utakuwa ni mkaaaali/mbayaaa!
 
Emu pitia karatasi yako ya ruksa vizuri....hili kweli halimo?

Mhe. nyumba kubwa, hilo halimo. Kwa akina dada wa kazi tulio nao siku hizi ni watukutu sana. Ukiachilia mbali kutandika kitanda, akizoea kuingia chumbani kwenu ni rahisi kujua siri zenu na kuhujumu. Mara nyingi siku hizi utasikia dada katoroka na milioni kadhaa, za bosi wake mara kakusanya kila electronic gadget na kutokomea. Yote haya yanaanzia kwenye kuruhusiwa kutandika kitanda cha bosi wake. Anapotandika anapata wasaa wa kusoma mazingira ya chumba chenu kwa undani zaidi. This is from a security point of view, haliishii kwenye kutandika kitanda tu.
 
Last edited by a moderator:
Eti mzee mwenzangu Blaki Womani, bed room kwako umefichamo nini hadi hutaki mtu aingie??

Kwani akikutandikia unakuwaje??



Na kama ni hivyo, basi akishindwa kutandika kinachofuata ni talaka...right??

Babu DC!!

Mzee mwenzangu huo ni utaratibu nimejiwekea hakuna chochote cha ajabu....... dada ana majukumu yake nami kama mama nina majukumu yangu namojawapo ni kuhakikisha kitanda changu na chumba changu kinakuwa safi vile nataka na sio kwa msaada wa dada labda sana sijui nikiumwa kufikia kusaidiwa lakini nikiwa fit NO........napiga picha usiku kucha umekukuruka kitandani huko kila dizaini halafu unasubiri mdada anakuja kuanza kutandua mashuka na kuweka mengine khaaa sitaki hilo hata kwa mwanangu....... Babu DC kama kila kitu nafanyiwa na HG mie nitakuwa nimekaa nakagua looo mie Blaki Womani sijajizoesha hivyo shahidi mume wangu Arushaone
CC kwa bi mdogo Madame B
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda hii Tuko, big up. Kiukweli mimi kitu nisichopenda ni kumfulia chup, hilo atafanya mwenyewe tu!



Nakubaliana nawe kwa mengine, ila sielewi unaposema sijakuelewa kdg; siku unapoingia ndani unaambiwa na nani kuwa chumbani ni sehemu takatifu marufuku kwa wengine kuingia? Yaani kwenye ndoa yako mtu mwingine ndio anakupangia rules of entry! Kama unaweza kusahau kitambaa, lazima wewe utakuwa ni mkaaaali/mbayaaa![/QUOTE]


Hata mimi nilipata taabu kusoma hilo jambo na pia kulielewa kichwani mwangu....

Labda ni uzee ila mhhhhhhhhhh....

Babu DC!!
 
Mzee mwenzangu huo ni utaratibu nimejiwekea hakuna chochote cha ajabu....... dada ana majukumu yake nami kama mama nina majukumu yangu namojawapo ni kuhakikisha kitanda changu na chumba changu kinakuwa safi vile nataka na sio kwa msaada wa dada labda sana sijui nikiumwa kufikia kusaidiwa lakini nikiwa fit NO........napiga picha usiku kucha umekukuruka kitandani huko kila dizaini halafu unasubiri mdada anakuja kuanza kutandua mashuka na kuweka mengine khaaa sitaki hilo hata kwa mwanangu....... Babu DC kama kila kitu nafanyiwa na HG mie nitakuwa nimekaa nakagua looo mie Blaki Womani sijajizoesha hivyo shahidi mume wangu Arushaone
CC kwa bi mdogo Madame B

Nimekuelewa Mzee mwenzangu,

Hata mimi siwezi kuruhusu HG akahangaike na chumba ambacho kimetumika kutolea sadaka kwa bwana lol!!

Tatizo langu hasa limetokana na baadhi ya wadau kujiapiza kabisa kabisa kwama HG haruhusiwi kukanyaga bedroom na wegine wamefikia kusema kuwa hata watoto wao NO!!

Ndo hivyo mkubwa mwenzangu...hizi nyumba hizi zinaficha mengi...Labda room nyingine zimejaa misukule na watu hawataki ionekane!!

Babu DC!!
 
Mhe. nyumba kubwa, hilo halimo. Kwa akina dada wa kazi tulio nao siku hizi ni watukutu sana. Ukiachilia mbali kutandika kitanda, akizoea kuingia chumbani kwenu ni rahisi kujua siri zenu na kuhujumu. Mara nyingi siku hizi utasikia dada katoroka na milioni kadhaa, za bosi wake mara kakusanya kila electronic gadget na kutokomea. Yote haya yanaanzia kwenye kuruhusiwa kutandika kitanda cha bosi wake. Anapotandika anapata wasaa wa kusoma mazingira ya chumba chenu kwa undani zaidi. This is from a security point of view, haliishii kwenye kutandika kitanda tu.

Hivi kwa karne hii kuna watu wanaficha mamilioni vyumbani??

Kama ni kweli basi hata mimi nisingeruhusu mtu aingie...

Babu DC!!
 
Nimekuelewa Mzee mwenzangu,

Hata mimi siwezi kuruhusu HG akahangaike na chumba ambacho kimetumika kutolea sadaka kwa bwana lol!!

Tatizo langu hasa limetokana na baadhi ya wadau kujiapiza kabisa kabisa kwama HG haruhusiwi kukanyaga bedroom na wegine wamefikia kusema kuwa hata watoto wao NO!!

Ndo hivyo mkubwa mwenzangu...hizi nyumba hizi zinaficha mengi...Labda room nyingine zimejaa misukule na watu hawataki ionekane!!

Babu DC!!

hahahahaha hapo kwenye misukule yawezekana maana mwanadamu wa sasa mmmhhhh kila kukicha jipya
 
Nimeipenda hii Tuko, big up. Kiukweli mimi kitu nisichopenda ni kumfulia chup, hilo atafanya mwenyewe tu!



Nakubaliana nawe kwa mengine, ila sielewi unaposema sijakuelewa kdg; siku unapoingia ndani unaambiwa na nani kuwa chumbani ni sehemu takatifu marufuku kwa wengine kuingia? Yaani kwenye ndoa yako mtu mwingine ndio anakupangia rules of entry! Kama unaweza kusahau kitambaa, lazima wewe utakuwa ni mkaaaali/mbayaaa![/QUOTE]


Hata mimi nilipata taabu kusoma hilo jambo na pia kulielewa kichwani mwangu....

Labda ni uzee ila mhhhhhhhhhh....

Babu DC!!

mzee mwenzangu unakuta ana mafua sasa amepenga usiku kucha bahati mbaya wakti ameamka kasahau kwenda nacho bafuni mara mdada anakuja kutandika mna kubadili mashuka inabidi na kitambaa kifuliwe na mdada kama nimeelewa lol maisha marahisi
 
Hivi kwa karne hii kuna watu wanaficha mamilioni vyumbani??

Kama ni kweli basi hata mimi nisingeruhusu mtu aingie...

Babu DC!!

kuna jirani yangu anafanyiwa usafi chumbani siku zote sasa anatabia ya kunua vitenge anaviweka ameishi na mdada wakashindwana akaondoka siku anaamua kupanga vitu chumbani kwake hakukuta vitenge 5 mdada kasepa navyo inaweza isiwe pesaanaweza kudanganywa mtaani akachukua doc ya muhimu siku umesahau kufunga kabati huwezi jua
 
Thubutu yakoooooo!!!!!!!
am very young mie kukosa wa kunioa he he he hata 25 sijaiona naharakia nini........ndoa zenyewe hizi uwanja wa vita!
Ndio maana unavyoviongea ni pumba tupu,usipojirekebisha ndoa itakushinda mdg wangu, unless other wise kama huna mpango wa kuolewa, kuna raha yake unapomcare husband wako mwenyewe na hudumisha ndoa pia, sasa kama una mawazao ya kifeminist na kutaka kukimbilia beijing mdg wangu wanaojua kucare watakupiku, haiwezi kupingika kua wanaume wnatakiwa kujaliwa ukibisha watakusaidia wanaojua,acha kufata mkumbo mume ni sector nyeti weye alah,unawafata waliotolewa mishipa ya kuishi na wanaume,jitambue binti,under 25 una mawazo haya we ndoa utaiweza kweli. Nakuhakikishia siku ukijaliwa kupata mume ukiingiza huu ufeminism wako utasoma number mambo mengine ni ya kusoma tu si ya kuyapractise( Feminism theory) Ni ushauri tu lakin
 
Ndio maana unavyoviongea ni pumba tupu,usipojirekebisha ndoa itakushinda mdg wangu, unless other wise kama huna mpango wa kuolewa, kuna raha yake unapomcare husband wako mwenyewe na hudumisha ndoa pia, sasa kama una mawazao ya kifeminist na kutaka kukimbilia beijing mdg wangu wanaojua kucare watakupiku, haiwezi kupingika kua wanaume wnatakiwa kujaliwa ukibisha watakusaidia wanaojua,acha kufata mkumbo mume ni sector nyeti weye alah,unawafata waliotolewa mishipa ya kuishi na wanaume,jitambue binti,under 25 una mawazo haya we ndoa utaiweza kweli. Nakuhakikishia siku ukijaliwa kupata mume ukiingiza huu ufeminism wako utasoma number mambo mengine ni ya kusoma tu si ya kuyapractise( Feminism theory) Ni ushauri tu lakin

Kilicho nyeti kwako isnt't necessary kiwe nyeti kwangu!!!! who is husband, what is ndoa by the way.....
nimekuambia ninao huo mshipa wa kuishi na mwanaume???????
what i cares abt is me, myself and i!!!!!!!!
nimekuomba ushauri juu ya ndoa ptyuuuuu niondolee shombo mie......
 
pole.. dada magdalena! hao wanaume ambao mnawataka nyinyi hawapo mtazeeka mkiwa wajane.... kuna kazi za kusaidia mumeo... lakini mi nadhani wanawake wote waliolelewa na baba na mama hawawezi kusema hayo unayo sema.... nadhani mama yako hajawahi ishi baba yako ndio tatizo....hujui maana ya baba ndani ya nyumba ni nini?

 
yaan wanaume wapenda umwinyi utawajua tu, kwanza nani kakwambia unyumba ndo ndoa, unamtishia mwenzio unyumba wakati kuna wengi wanatamani kumpa ila tu anajiheshimu na kukuheshimu wewe.Acheni u-selfish nyie wakaka.sasa ulivyomwambia huo unyumba wako ndo umesaidia nini? tambua kuna muda mwanamke anachoka hivyo anahitaji kusaidiwa na kubembelezwa. eboo!
 
Back
Top Bottom